Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

mwenye diploma ya nurse anaanza na sh ngapi?
 
jamani kama hamna uhakika kuhusu mshahara huo msipost kujifurahisha, mshahara bila makato ulishafika 500,000 + ....... hakuna mwalimu wa degree anaechukua chini ya 450,000 kama take home. ukiachana na jeshi baada ya afya ni walimu hata wahasibu takehome hawamkuti mwl, dai la msingi la walimu ni kwamba kazi hailingani na malipo.
 
vipi mshahara wa kuanzia wa wanasheria wa serikali na madoctor (MD wa muhimbili)?
 
TUKIACHA UALIMU... MSHAHARA WA FANI NYINGINE UNAKUWAJE? Mfano KAMA MTU ANA DEGREE YA MIPANGO NA UAFISA MIRADI (ba project planning and management). Serikalini pakoje. Msaada please
 
Bachelor degree ya ualimu ni TGTS D1 460,200 (around that figure), 2011/12. Kiukweli haitoshi, na ofcoz huwa hazitoshi, sema vema ukamaliza na kuanza, otherwise omba private schools, wenyewe huwa wanapanda zaidi ya government scale, ila kwa maelewano, unaweza daka hadi Million.
 

Hujui unachokiandika wewe!
 
asante. mkuu. niliwahe kuuliza mnisaidie TGS C2 Ni shs ngapi? manake ni wasiwasi na mwajili wangu si unajua wahindi?
 
umesomeka mkuu.......thanx
 

Acha upotoshaji! Wewe ka ndo Huna hakika unyamaze!
Basic salary degree holder 532,000,TGTS D1
MAKATO
PSPF 26,600
INCOME TAX 57,808
CWT 10,640
BIMA YA AFYA 15,960
RCUR 32.95
RPRV 58.95
HESLB 36,600
Halafu hapo take home itakuwa juu ya 450,000/=?
 
HAbari
wanajamii forums
nilikuwa naomba kujua viwango vya mishahara kwa watumisi kada wa afya ngazi zote za Degree. Diploma na Cheti.

Au chanzo cha kupata taarifa nisaidie
 
nataka kujua viwango vya mishahara vya kada ya afya!
Kada za afya ziko nyingi aisee kuanzia madaktari,manesi, wauguzi, wakunga, mabwana afya, wataalamu wa maabara, wataalamu wa viungo bandia nk.

Labda uwe specific ni kada ipi hasa ili wanaojua wakupe msaada..
 
Kada za afya ziko nyingi aisee kuanzia madaktari,manesi,wauguzi,wakunga,mabwana afya,wataalamu wa maabara,wataalamu wa viungo bandia nk.Labda uwe specific ni kada ipi hasa ili wanaojua wakupe msaada..

OK
nashukuru kwa kunielewesha nilikuwa nahitaji kujua juu ya upande wa
Diploma ya medicine(clinical officer)
na Diploma bwana Afya(Health Officer)
Nawasilisha!
 
OK
nashukuru kwa kunielewesha nilikuwa nahitaji kujua juu ya upande wa
Diploma ya medicine(clinical officer)
na Diploma bwana Afya(Health Officer)
Nawasilisha!

Kwa mwaka huu wa fedha 2012/2013 ,tabibu(clinical officer) analipwa sh 535,000...daktari (medical officer) analipwa 1,102,000 kwa mwezi

Kuhusu mabwana afya sina uhakika labda nifanye utafiti then nitaleta hapa..
 
Kwa mwaka huu wa fedha 2012/2013 ,tabibu(clinical officer) analipwa sh 535,000...daktari (medical officer) analipwa 1,102,000 kwa mwezi

Kuhusu mabwana afya sina uhakika labda nifanye utafiti then nitaleta hapa..

Pouwa kaka nimekusoma Mkuu!!
Hapo ni pamoja na makato?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…