Prodigal Son
JF-Expert Member
- Dec 9, 2009
- 1,068
- 711
Si uombe kwa mwajiri wako???????
ndio njia rahisi
ndio njia rahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi njaa zitatuua, waraka kama upo siutatolewa tu. Mbona kama hatuna imani na viongozi wetu..!
waraka huo ni siri na hautakiwi kutangazwa kwenye vyombo vya habari.
Heshima kwenu wakuu.....
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia waraka wa mishahara mpya 2013 naomba anijuze.
Natanguliza shukrani za dhati kabisa
Hizi njaa zitatuua, waraka kama upo siutatolewa tu. Mbona kama hatuna imani na viongozi wetu..!
Hizi njaa zitatuua, waraka kama upo siutatolewa tu. Mbona kama hatuna imani na viongozi wetu..!
Hizi njaa zitatuua, waraka kama upo siutatolewa tu. Mbona kama hatuna imani na viongozi wetu..!
Hizi njaa zitatuua, waraka kama upo siutatolewa tu. Mbona kama hatuna imani na viongozi wetu..!
Nawamini japo nimewaweka kwenye lile kundi la punda bila mjeledi haendi..!Wewe unawaamini viongozi?
wakuu kuna mtu anaweza kunisaidia jinsi ya kujua hizi scale za mishahara ya serikali na mashirika yake. mfano TGS scale (TGS E)