Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

nina mpango wa kusoma kati ya hizo mbili CO na bwana AFYA sijui kozi ipi ni nzuri zaidi hapo KAKA

Clinical officer ndio mpango mzima.....ukiwa na juhudi unafika hadi udaktari bingwa.....kuna jamaa alikuwa CO anamalizia intern MD sasa hivi na ni daktari mzuri sana....
 
data za zamani kabla ya bajeti mpya diploma 680,000/-, degree975,000/=
 
data za zamani kabla ya bajeti mpya diploma 680,000/-, degree975,000/=

Sidhani kama ni kweli.....mara ya mwisho naibu waziri dr seif rashidi katangaza mishahara mipya ya bajeti 2012/2013 akijibu swali bungeni la mama rwakatare......diploma sh 535,000 na degree sh 1,102,000 kwa mwezi.....sasa haiwezekani mishahara ya diploma iwe imeshuka.....sidhani kama walishawahi kupokea hiyo labda kama unazungumzia ma-AMO ambao ndio wanachukua kama laki 7 hivi...

SOMA HAPA
 
TGTS D1 ambayo kabla ya makato ni sh 450,000.00
makato yake kuna PSPF
Bima ya Afya
Chama cha walimu
Tax Pay as you Earn
mengine yatakuja ya mikopo kama utakopa

nadhani take home inaweza kua 320,000.00

rasmi sasa nimeshajua viwango kwa;
DIGRII= 532,000
DIPLOMA= 370,000

hizo ni basic salaries..
Source: mie mwenyewe nilkuwa nasainishwa mkataba wa kuanza kazi ofisi za halamashauri
 
Acha upotoshaji! Wewe ka ndo Huna hakika unyamaze!
Basic salary degree holder 532,000,TGTS D1
MAKATO
PSPF 26,600
INCOME TAX 57,808
CWT 10,640
BIMA YA AFYA 15,960
RCUR 32.95
RPRV 58.95
HESLB 36,600
Halafu hapo take home itakuwa juu ya 450,000/=?


[TD="align: left"][/TD]
[TD="align: left"]
[/TD]
[TD="align: left"]
[/TD]

absolutely mkuu hvyo viwango ndivyo sahihi
 
Mshahara kwa anayeanza kazi mwaka huu 2013 ni sh 532,000 basic salary. Huu ndio ukweli.
 
Aa wapi mbona mimi shemeji yangu ni mwali ana diploma anapata mshahara take home Tsh 310,000 sasa hapo mtu wa digree kiasi kilichotajwa hapo juu ni kidogo mno! kwa mimi ninvyojua basic salary ni 500,000 na zaidi kwa mtu wa dedree. ndo hayo tu mawazo yangu.
 
Hapo mkuu upo sahihi naona ulikua na Salary Slip wakati unafanya analysis!!! wanataka kudharau kazi ya ualimu wakati inalipa sana tu yaan sio sawa na kilimo cha jembe la mkono!!!!
 
Ok mimi nakushauri watafute Teacher's junction.
Wanazo taarifa zote za mishahara wacheki fb kwa jina hilo hilo wengine watakuzingua tuu.
 
320,000.00 ukigawa kwa 30 ni sawa na 10,700/= Tshs kwa siku!
Hivi pesa hii mtu akijipanga kufanya kilimo cha umwagiliaji wa pampu tu ya kawaida akitumia maji ya mto wa kudumu hawezi kupata hata 500,000 kwa mwezi?

Nauliza tu, I stand to be corrected!

yawezekana Ila wote wakifanya hivyo wachache wataweza ku-maintain ufundishaji wenginine wata bobea kwenye WATER-PUMP na kuongeza ZOMBIES.
 
Wakuu kwakweli hapa nimeshindwa kuelewa kabisa hivi ''Institution’s salary scale PTSS
13-14''
ni sawa na mshahara kiasi gani,manake hizi government salary scale ni nyingi sana na sizijui.
 
Heshima kwenu wakuu.....

Kama kuna mtu anaweza kunisaidia waraka wa mishahara mpya 2013 naomba anijuze.

Natanguliza shukrani za dhati kabisa
 
Back
Top Bottom