Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

Mwenye ufahamu wa scales za TANROADS na TARURA tafadhali
 
Kwangu Mimi na nipendavyo ajira ya kunipa constant rate na kuninyima uhuru sipendagi kabisa... Mshahara chini ya 1m hapana Bora niendelee kujiajiri siku nipate hiyo, au zaidi au chini kidogo ila huru.. Na Sina tarehe maalumu ya kupata pesa, inawezekana Mara moja, mbili, tatu kwa mwezi
 
TGS D, inategemea umesomea nini
uhacbu degree 625000
procu degree 625000
law, teaching arts, 625 e.t.c
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…