chandeka marwa
Member
- Mar 26, 2023
- 7
- 2
Natafuta kazi ya ujenzi jamani mimi nimesoma ujenzi(masonry &bricklaying) miaka miwili. Kazi zote za ujenzi nafanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijuiCurrently Tghs C...katibu wa afya wanalipwaje?
1,040,000/=Currently Tghs C...katibu wa afya wanalipwaje?
Mkuu vp kuhusu TGHS B
[emoji120] nilikuwa naitafuta sana
Mkuu kama hutojali naomba kujua TGHS D ni kiasi gani?
Siki hizi Bank wanakata VAT 18% kila ukitoa pesa. Je, mnalifaham hilo wadau?Kwenye TGS D
income tax 70500
Loan board 15%
WCF 2%
PSSSF 5%
Bado mkeka unaendelea hapo, ndugu yangu kuwa makini
1,340,000/=Mkuu kama hutojali naomba kujua TGHS D ni kiasi gani?
Shukrani
Asante sana, hao wa TGHS D ni wafamasia wenye digrii, je hao madaktari wenye degree wanaoanzia kwenye TGHS E wanapata shilingi ngapi?
Hii haifiki hata Laki 3TGS A nayo ni bei gani ?
1.5MAsante sana, hao wa TGHS D ni wafamasia wenye digrii, je hao madaktari wenye degree wanaoanzia kwenye TGHS E wanapata shilingi ngapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii haifiki hata Laki 3