Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi salary scale na elimu yangu nilio nayo mbona ina ogopesha
naona nitakuwa naenda kazini ili nipate hela ya kodi ya nyumba na Chakula tu mshahara wote kwisha[emoji23]
Mmmh ni ya kweli?? 400k????TGS D 765 000 loan board na makato yote inabaki 400k + uko mji kama dodoma bila kusahau una watoto na mke, kuna kutoboa hapo Mwaisa
Baada ya makato inabaki kias gan? Kwa ambaye hajasomeshwa na bodi.
818,800/=Baada ya makato inabaki kias gan? Kwa ambaye hajasomeshwa na bodi.
Mkuu n tgs D je akiwa na loan from heslb?
Deduct 15% from basic salaryMkuu n tgs D je akiwa na loan from heslb?
525,850/-Mmmh ni ya kweli?? 400k????
Aah kwani ukisema shida iko wapi
Asante525,850/-
662,800/=Aah kwani ukisema shida iko wapi
Wengine mathematixs isnt our friend
Mbona hapo juu kasema 520k mkuu?
Mimi nakujibu maswali ulioniuliza wewe tuMbona hapo juu kasema 520k mkuu?
Huu Uzi nimeutafuta sanaWanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
Ao LSS ndo Sheria sio?Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
Alriggt mkuu, basi fanya hio basic then toa heslb, PaYE, PSSSf,Nhif na makato yote take homw ni ngap?
Scale ganiAlriggt mkuu, basi fanya hio basic then toa heslb, PaYE, PSSSf,Nhif na makato yote take homw ni ngap?
Tgs d ukitoa hedlb,payepsssf,nhif
TGSD1 Baada ya makato yote na HESLB 580,400/-Tgs d ukitoa hedlb,payepsssf,nhif