Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 515
- 1,015
Hivyo viwango vya mshahara n toka Enzi za kikwete eenh mpk leo!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulikosa connection sasa ipo na mishahara itabadilika, duhhHivyo viwango vya mshahara n toka Enzi za kikwete eenh mpk leo!?
MkuuKada gani? Nafahamu Dip anakula 805k kwa hiyo scale PGSS ambayo ni 4.1 na sio hiyo 6 pia hiyo 6 haishuki 1.2m japo sina exactly amount figures, na kumbuka ni Gross sio Take home.
Tofauti mkuu.Mkuu
PGSS inafanana na PSS G au ni tofauti.?
Mjini mipangoHapa Mimi nashangaa anawezaje kuwa na gari alafu mshahara wenyewe ndio hivyo
Tanesco wanatumia TCG zinaanza E1 hadi C ambazo huwa seniorsKuna ngazi za,mishahara za parastal organizations ,PGSS, Hazipo humu,kama vile SIDO,VETA,VYUO VIKUU,TANESCO N.K,wenye kuzijua wazitupitie zote tena zile current kabisa
Owkay,hivii hiyo ya SIDO PGSS 6 imaweza kuanzia kiasi gani mkuu?Tanesco wanatumia TCG zinaanza E1 hadi C ambazo huwa seniors
SIDO wako katika PGSS kwa sasa.
Inaweza fika 1.5 au 1.6m maana ni level za Degree ya Miaka 4.Owkay,hivii hiyo ya SIDO PGSS 6 imaweza kuanzia kiasi gani mkuu?
Inaweza fika 1.5 au 1.6m maana ni level za Degree ya Miaka 4.
BSc.Human Nutrition? Njoo PM mkuu tupunguze uchungu wa maishammmh! Mm nina digrii ya nutrition,nisome hyo ya nursing? Naona hata kaz zake ziko za kumwaga! Mana nahangaika kutafuta kaz sipati
Anayefahamu mshahara wa Parastal Government Salary Scale 5 (PGSS 5)kwenye shirika la Utangazaji Tanzania TBS ni kiasi gani??
Nawasilisha
Okay nashukuru sana mkuu.Laki 9 na elfu 75
Nilimaanisha TBC ni typing errorsTBS ni shirika la viwango Tanzania
TBC ni shirika la utangazaji Tanzania
Sasa wewe umekusudia kutangaza huko kwenye viwango vya ubora TBS au kwenye shirika la utangazaji TBC?
Nadhani ulinganifu Na utofauti Ni kwa fani Na fani wakuu Kuna fani mishahara n kichef chef......lkn ukiajiriwa serikalini ujue umekwepa ushindani ktk kazi n ukicheza unalemaa,kujitolea kwingi,siasa kuliko logic,.....na ushamba mwing huku hutakiw kuwa tajir yaaan n balaaa