Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

Dah kumbe hawa jamaa wanalipwa pesa kidogo hivi? (I mean take home)
 
Mwalimu mwenye degree 385,000/,polisi certificate take home ,250,000/- +150,000/(allowance)= 390,000/- mpaka hapo ushaona walimu wanavyopunjwa,yaani mtu alikuwa na 4.28 firm4 wewe labda ulikuwa na one au two ,umeenda chuo kikuu mwenzio kaenda kuchukua cerificate ya law anakuzidi kwa mapato inaudhi
 
about 400,000 kwa kuanzia! pia waweza angalia nchi jirani hasa sudani kusini..waweza kufundisha na kupata pesa nyingi zaidi..usiogope kuchukua risk!!

mkuu nikuPM
 
mwakani namalza hako ka'digrii kangu ka'ualimu na hatmaye nimekata shauri bora nijiunge na jeshi tu. Naogopa daima kuwa maskini

KAMA UNAMALIZA MWAKAN NADHANI UTAANZA NA HELA NZURI KIDOGO KWANI WANAOANZA MWAKA HUU MSHAHARA WAO NI 532000/ BILA MAKATO YOTOTE NAYASEMA HAYA KWANI NIMESOMA WARAKA MPYA WA SERIKALI BAADA YA NYONGEZA YA MWEZI WA SAB MWAKA HUU HIVYO BASI UTAPETA, KWENYE UALIM HAMNA KUBANWA KAMA ILIVYO JESHI CKU HUJCKIII KUFUNDISHA UNATOA TU SWALI GUMU UBAONI WANAKOSA YOTE HIVYO RAHSI KUMARK. UKIWA NA MIRADI YAKO UTAKULA BATA MBAYA HAMNA WA KUFUATATA KWANI WAMEKATA TAMAA NA WAKUU WETU NDIO ALEWALE DIPLOMA WANAOGOPA SANA WENYE DIGRII CJUIA KWA NINI MPAKA WENGINE WANATAMANI KUACHA KAZI NA WENGINE WAMEAMUA KWEND KUSOMA SAIV.:A S-heart-2:
 
hizi ni scale za zamani, za mwaka huu ni kama ifuatavyo.
TGTS/D/1- BASIC NI 532,000
wakikata PSPF -26600
CWT 10,640
income tax 57,808
bima ya afya 15960
RCUR 32.95
RPRV 58.95

PIGA MWENYEWE TAKE HOME NI 421,018

kama umesomeshwa na heslb ondoa tena 8% hapo,kwa kifupi makato ni mengi sana.
 
hizi ni scale za zamani, za mwaka huu ni kama ifuatavyo.
TGTS/D/1- BASIC NI 532,000
wakikata PSPF -26600
CWT 10,640
income tax 57,808
bima ya afya 15960
RCUR 32.95
RPRV 58.95

PIGA MWENYEWE TAKE HOME NI 421,018


ndiyo maana nikitamani kuajiriwa nasikia akili inaniruka. Hayo makato yote ukiachia PSPF na Bima ya Afya ni kwa faida ya nani?
 
mfanyakazi anayelipwa ktk ngazi ya PGSS 5,mshahara wake ni kiasi gani kwa mwezi?
 
Ukifuatilia mishahara ya serikali utapata presha tu. Mkuu na masahisho hapo. Mwisho kwa wafanyakazi wa serikali ni TGS I sio H. Kuanzia TGS J ni presidential appointment kama wakurugunzi. Mshahara wa juu wa seilkali ambao ni TGS I kwa mashirika mengine ya UMMA ni mshahara wa kawaida sana.
 
1.4M kwenye mabenki na NGO kitu kidogo sanaa, kuna sehemu fulani nyeti nyeti kweeeeli yani unakuta mtu wa chini anavuta 1.5M mpaka unashika kichwa kinauma. Kwa hali hii tutafika kwelii? :confused2:
 
TGS A hadi C ni kiwango cha watumisha kwa watumishi wa serikali wanaoanza kazi bila kuwa na shahada. Hiyo TGS D ndo wale wanaoitwa maafisa pindi wanapoanza kazi ingawa hata wasiokuwa na shahada wanaweza panda toka A hadi G ambayo huwa ndio kiwango chao cha mwisho hawawezi kupanda zaidi ya hapo labda wawe wamepewa madaraka (sio cheo).

Kwa government system, mshahara wa TGD D huanzia around 470,000/= kwa mwezi na kwa TGD E huanzia 600,000. Hii haiwahusu walimu na madaktari. Kwa engineers wote including ARDHI degrees wao wanapoanza kazi huanzia na TGS E na kwa degree nyingine zote huwa wanaanza na mshahara wa TGS D upon first employment na Government. kwa wenye degree mshahara ya hupanda hadi kufikia TGS H amabapo ili kwenda TGS I, ni lazima upate cheo cha madaraka (i.e uwe mkuu wa idara, mkurugenzi etc, hii haiwahusu wakurugenzi wa mashirika ya umma yanayojitegemea kama tanesco, TBS, TANAPA, Ngorongoro TRA etc. wao wana mifumo yao ya mishahara ambayo ni mikubwa kuliko ya watumishi wa wizara za serikali na halmashauri ambao ndiyo wanaotumia mfumo wa TGS)

Unapokuja kwenye TGS I, hivyo ni viwango vya mishahara vinavotokana na madaraka km ukiwa mkuu wa idara serikalini basi mshahara wako ndo utaanzia na TGS I au ukiwa na cheo cha Principal, mshahara wako walau utaanzia na TGS I. Hao unaowasikia wakuu wa idara za wizara wote mishahara yao huanzia hapa ambao ni around 1,400,000/=.

Hope mpaka hapa utakuwa umepata mwanga kidogo.

asante mkuu..na TRA yakwao ikoje?
 
TRA wana scale zao tofauti na za Serikali....Agency zote za Serikali pia wana scale zao tofauti kabisa kama Tanroad,Ewura,Sumatra,TBS etc...hao wanalipana sana sana pia Authority zote nao wana scale zao tamu sana!!
 
TRA wana scale zao tofauti na za Serikali....Agency zote za Serikali pia wana scale zao tofauti kabisa kama Tanroad,Ewura,Sumatra,TBS etc...hao wanalipana sana sana pia Authority zote nao wana scale zao tamu sana!!

sawa..ila unafahamu labda salary scale yao kwa mtu wa bachelor akianza?
 
Asante mkuu kwa ufafanuzi

KAMA UNAMALIZA MWAKAN NADHANI UTAANZA NA HELA NZURI KIDOGO KWANI WANAOANZA MWAKA HUU MSHAHARA WAO NI 532000/ BILA MAKATO YOTOTE NAYASEMA HAYA KWANI NIMESOMA WARAKA MPYA WA SERIKALI BAADA YA NYONGEZA YA MWEZI WA SAB MWAKA HUU HIVYO BASI UTAPETA, KWENYE UALIM HAMNA KUBANWA KAMA ILIVYO JESHI CKU HUJCKIII KUFUNDISHA UNATOA TU SWALI GUMU UBAONI WANAKOSA YOTE HIVYO RAHSI KUMARK. UKIWA NA MIRADI YAKO UTAKULA BATA MBAYA HAMNA WA KUFUATATA KWANI WAMEKATA TAMAA NA WAKUU WETU NDIO ALEWALE DIPLOMA WANAOGOPA SANA WENYE DIGRII CJUIA KWA NINI MPAKA WENGINE WANATAMANI KUACHA KAZI NA WENGINE WAMEAMUA KWEND KUSOMA SAIV.:A S-heart-2:
 
Back
Top Bottom