Nafahamu IT mmoja kaanza kazi anakula 3+Inafika 2.5M?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafahamu IT mmoja kaanza kazi anakula 3+Inafika 2.5M?
Taasisi gani hiiHarafu kuna EGAAS 5.1
Swali la uelewa, hivi mamlaka zote zina mishahara sawa.. or tume zote zina mishahara sawa, maana ni the same authority or Tume?..Mshahara inategemea unaajiriwa na mamlaka ipi e.g TAMISEMI (Halmashauri), Taasisi, Mamlaka, Wakala, Shirima, Tume n.k
Mamlaka ya Mawasiliano Serikali (eGA)Taasisi gani hii
Leader salary scaleLSS ndo mishahara ya watu gani?
Danp36 mzee wa mzumbeHabari ,
Naomba mwenye kujua salary scale ya hii nafasi BOT- BTPS 1
Mzumbe tena?Danp36 mzee wa mzumbe
Mkuu hii ni net income?, mkononi mtu anabaki na sh. Ngapi? Na gross income ni sh. Ngapi? Kama unafahamu.
670,000 take homeMkuu hii net income, mkononi mtu anabaki na sh. Ngapi? Na gross income ni sh. Ngapi? Kama unafahamu.
Duh! Ila bora kuliko wilayani. Hamna housing allowance, transport?. Asante sana.670,000 take home
Pole sanaa aisee, Nakuombea Mungu akufanyie wepesi ndugu .Naombeni connection ya job ndugu zangu okoeni uhai hali ni ngumu
PMGSS 8 ni sawa na kiasi gani?Master ya afya pekee kwenye utumishi ukiacha academic institution ambayo Ina salary ni MMED,ukiwa wizara/TAMISEMI,utaanza na TGHSG=2,300,000/=,Mashirika ya umma PMGSS 11=3,200,000/=
Ukienda tra ni mishahara ya diploma na degree za miaka mitatu tuMaster ya afya pekee kwenye utumishi ukiacha academic institution ambayo Ina salary ni MMED,ukiwa wizara/TAMISEMI,utaanza na TGHSG=2,300,000/=,Mashirika ya umma PMGSS 11=3,200,000/=
We jamaa uko obsessed na TRA.Ukienda tra ni mishahara ya diploma na degree za miaka mitatu tu
Kuna zaidi ya tra kwani hapa bongo?We jamaa uko obsessed na TRA.
Ukienda tra ni mishahara ya diploma na degree za miaka mitatu tu