Ngiri (Warthog ): Naomba wataalamu watueleze Kwa kina kuhusu huyu Mnyama

Khee! We sema eti kichwa hakipo sawa. Lakini huku mashambani, shamba la mahindi, Wakiingia shambani kwako ujue hutavuna hata mabua - wanafyagia mwanzo mwisho halafu wakishiba wanalala hapo hapo kana kwamba wanalinda walichokifanya.
Ndio ujue umeme mdogo kichwani!

Hizi story za humu zimenichekesha sana sijawahi sikia.
 
😂😂😂😂 Au chizi!
 
Huyo mnyama anapenda attention kinoma.
Yupo kama watu wafupi.....wanapenda attention kwenye makundi
 
Imekua kawaida kusikia vijana mtaani wanasema mwendo wa ngiri mkia juu several times...

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
 
Hahahahahahahaahaha mkuu umeua nimecheka sana..
 
Nahisi hivyo mara zote walikuwa na kundi la mbwa na mikuki.

Niliona nyani kamwaga utumbo wa mbwa kama utani asee zile kucha na meno ni hatari sana akiwa anatetea uhai wake.
Nyani hatari sana. Anakukusanya ngozi pamoja kama mtu anavyokamua nguo halafu ndio anang'ata. Anakuochia bonge moja la jeraha.
 
Wanasema anasahau haraka sana kupita wanyama wote huenda aliwasahau kuwa Hawa wote ni waganga njaa tu hakuna msaada wowote
 
Samahani naomba kukuuliza,hivi Warthog na wild boer ni wanyama wawili tofauti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…