Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hakika uliupiga mwingi mkuu hongera Sana. Huwa nakaa natafakari maisha ya uzee kiukweli huwa sipati picha halisi yatakuaje Kama nitafika huko ila nikiwaza nguvu zitapungua nachoka kabisa.Kabisa, na mimi nilizingatia pia nisi nenepe
Maana hamnaga unene wenye afya na namshukuru Mungu afya yangu ipo vizuri kabisa ila kuumwa kwa hapa na pale kumo pia
Shukran mkuu π
Kuna wazee wako fiti sana mbona we jali afya yako tu, utaona utakavyo ufurahia uzee wakoHakika uliupiga mwingi mkuu hongera Sana. Huwa nakaa natafakari maisha ya uzee kiukweli huwa sipati picha halisi yatakuaje Kama nitafika huko ila nikiwaza nguvu zitapungua nachoka kabisa.
Hongera, ila uzi wako upo shallow japo una potential. Hujaweka mambo muhimu waziNilikuwa nakula (30-40)% inayobakia na investvau na save basi hamna kipya
Sikuwa mtu wa anasa kabisa
Sasa hapa kumbe ishu ni pension kwanzaIla mafao ya 2016 yalini boost sana
Sio kuhusu kukujua in person bali ungesema mbinu ulizotimia, changamoto ulizopata, jinsi ulivyozitatua mpaka kifika ulipo. NΓ dhani hapo ungesaidia wengi.Huwezi jua A to Z ya mtu hata kama niseme niongeze maneno
Ila vitu vya muhimu nimeweka mbona
@KIBABU_53 Ombea wazee wenzio nao maana wazee wengi wan panic attack kwenye kila kituSalaam kwenu wote,
Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu,
Nimezaliwa 1953
Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho
Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nili fanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine
Ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli,
Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35
Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu,
Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi, mbalimbali
Ambavyo ndo vinanilea sasa hivi
nawashaurini vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,
Zingatia:
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
-TUMIENI UJANA WENU VIZURI,
-NARUDIA TENA TUMIENI UJANA WENU
VIZURI,
-NARUDIA TUMIENI UJANA WENU VIZURI
MSIJE
MKAJUTA KWENYE UZEE WENU, MAANA MUDA UTAKUWA UMEKUTUPA MKONO NA NDIPO MARADHI YATAKAVYOANZA KUKUSHAMBULIA,
Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana
Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho, ili azidi kuwabariki,
Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao NA FAMILIA ZAO
Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo,
Hivyo ni faraja sana kwangu,
Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo,
Muwe na jpili njema [emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]
Usihofu hujanikwaza hataSio kuhusu kukujua in person bali ungesema mbinu ulizotimia, changamoto ulizopata, jinsi ulivyozitatua mpaka kifika ulipo. NΓ dhani hapo ungesaidia wengi.
Ni mawazo yangu mzee wangu. Pia samahani kama nimekukwaza kwa namna yoyote ile.
Sasa Hapo umeshauri nini?? Zaidi ya bla bla nyiiingi mara ukalipwa vizuri mara hiki hujashauri lolote.Salaam kwenu wote,
Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu,
Nimezaliwa 1953
Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho
Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nili fanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine
Ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli,
Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35
Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu,
Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi, mbalimbali
Ambavyo ndo vinanilea sasa hivi
nawashaurini vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,
Zingatia:
πππππππππππππππ
-TUMIENI UJANA WENU VIZURI,
-NARUDIA TENA TUMIENI UJANA WENU
VIZURI,
-NARUDIA TUMIENI UJANA WENU VIZURI
MSIJE
MKAJUTA KWENYE UZEE WENU, MAANA MUDA UTAKUWA UMEKUTUPA MKONO NA NDIPO MARADHI YATAKAVYOANZA KUKUSHAMBULIA,
Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana
Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho, ili azidi kuwabariki,
Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao NA FAMILIA ZAO
Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo,
Hivyo ni faraja sana kwangu,
Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo,
Muwe na jpili njema πππππ
Ni kweli kabisa, ila usikate tamaaMawazo yako ni mazuri, unaweza kuwa na mawazo mazuri lakini huna mtaji,huna KAZI nzuri, wewe ulibahatika kupata KAZI nzuri yenye mshahara mnono mshukuru Mungu
Cheki lilivyo pumbavu unaambiwa uonyeshe unasema if umejua juzi mbona umejaa kamasi wewe nimekuambia nionyeshe hizo comment. Hayupo mtu aliye busy kutafuta maisha akashinda mitandaoni angalia hata waanzilishi wa jf. Uache upumbavu nikajua ushaacha ujinga wako kumbe badoWe dogo JF umeijua juzi tu then ubishi Mwingi .
Huyo ni mwendawazimu hakuna mzee hilo halihitaji degreeHii speed ya huyu mzee sijaielewa bado.ππππ.
Kwanini mkuu, kwani hakujipanga au nini shidaHongera sana Mzee Mzee wangu ana Umri kama wako anakaribia kustaafu namuonea huruma atafanya nini
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app