Rais hana mamlaka yakufuta kesi iliyopo Mahakamani kikatiba.Rudia tena kuisoma vizuri hiyo katiba kwa utulivu, utaona mamlaka anapoyatoa.
cctv cameras na Wananchi wa Hai na Arusha +Diwani wa CCM wanatosha.Hakuna mahakama iliyothibitisha hilo kutokea.
Wale walishindwa hata kuithibitishia Mahakama? Footage hainyeshi sura, hajulikani huyu ni nani! Mahakama gan itakutia hatiahani kwa style hiyo?cctv cameras na Wananchi wa Hai na Arusha +Diwani wa CCM wanatosha.
Umeandika nilivyotaka kuandika. CASE CLOSED.Sabaya ni kesi halali za uhalifu wake, wakati Lema ni kesi za mchongo toka kwenye siasa chafu za Magufuli.
Ushahidi ulikuwa overwhelming huwezi kukanusha Ujambazi wa DC Mstaafu.Wale walishindwa hata kuithibitishia Mahakama? Footage hainyeshi sura, hajulikani huyu ni nani! Mahakama gan itakutia hatiahani kwa style hiyo?
Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Mzee kwani wangapi wamemlalamikia Mbowe kwa mauaji kadhaa pale ufipa? Kama una ushahidi wa uo ujambazi mbona kesi anashinda? Mkowapi nyinyi mnaosema jambaz mkatoe ushahidi?Kumtetea Sabaya inabidi usiwe na akili timamu kama mleta mada. Sabaya ni shetani katika mwili wa binadamu. Hafai kutetewa na mpenda amani yeyote. Makonda, Gambo, Mnyeti, Biswalo na Ally Hapi walipaswa wawe magerezani muda huu.
Ushahidi ulioshindwa mbele ya Court sio? Kwani Sabaya anatumikia kifungo kwasasa?Ushahidi ulikuwa overwhelming huwezi kukanusha Ujambazi wa DC Mstaafu.
Tunaendelea kudanganya watanzania mpaka lini??Sabaya ni jambazi kesi Yake siyo yakisiasa siyo yakutengenezwa kajitakia mwenyewe kituo chake cha kazi kilikuwa mkoa Wa Kilimanjaro wilaya Hai anaenda kufanya matukio mkoa Wa arusha kwanza anaingilia wakuu mikoa na wilaya linamuhusu hatobowi
Sabaya Jambazi!Ushahidi ulioshindwa mbele ya Court sio? Kwani Sabaya anatumikia kifungo kwasasa?
🤓🤓🤓Sabaya Jambazi!
Wewe ni mpumbavu sana. Sitakujibu ili kulinda heshima yangu.Mzee kwani wangapi wamemlalamikia Mbowe kwa mauaji kadhaa pale ufipa? Kama una ushahidi wa uo ujambazi mbona kesi anashinda? Mkowapi nyinyi mnaosema jambaz mkatoe ushahidi?
Acha umbeya mtoto wa kiume uyu mbowe aliyekuwa anateswa na magufuli kamuuwa nani? Nyie ndo mnatakiwa kukamatwa mkajibu mashtaka pumbavuMzee kwani wangapi wamemlalamikia Mbowe kwa mauaji kadhaa pale ufipa? Kama una ushahidi wa uo ujambazi mbona kesi anashinda? Mkowapi nyinyi mnaosema jambaz mkatoe ushahidi?
Tofautisha kesi ya uhalifu na kesi ya uongo Yaani ya kubambikiziwaRais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Wenzako wameshasema nimewajibu..Tofautisha kesi ya uhalifu na ya kubambikiziwa
Huu sio upendo kama Lema amesahewa kwann sio Sabaya ubaguzi ni Dhabi kubwa Sawa .Amini nakuambia Rais wetu Mama Dr.Samia atamsamehe na Sabaya Mama ni mwenye hekima sana.Sabaya ni kesi halali za uhalifu wake, wakati Lema ni kesi za mchongo toka kwenye siasa chafu za Magufuli.