M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Kwanini amfutie kesi Sabaya peke yake kama kigezo ni mwezi wa Kwaresma? Vipi kuhusu waporaji na majambazi wengine wa silaha walioko mahabusu? Basi kuwa fair wale wote wenye kesi za ujambazi wa silaha waachiwe kama Sabaya anastahili kuachiwa kwa sababu ya kuwa ni mwezi wa Kwaresma.Kama mwizi wa gari mstaafu anasamehewa hata huyo mhalifu anastahili.
Huu ni mwezi wa kwaresma.
Rais atoe zawadi kwa kumfutia kesi sabaya atapata thawabu.
Else itakua hadaa tu kama nyingine tulizozoea kusikia na kuona.
Ugaidi wa kumbumba tofautisha na kesi halisi za ujambazi, you have the right kulalamika utakavyo lakini dogo yule ni kibaka wa waziwazi kesi zake haiwezekani 'ziyeyushwe'.Mbowe kafutiwa kesi ya Ugaidi.
Kesi ilikuwa 'crafted' wakati wa awamu ya tano.Mbowe alipelekwa mahakamani wakati wa utawala wa awamu ya sita.
Nimeamini wapenziHapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Sidhani kama kuna mahali Samia katamka "kusamehe", navyojua kasema kufuta kesi.Dhamira ya Rais sio ya dhati .
Anawatumia tu Chadema kwa manufaa ya kisiasa.
Wenye makosa ndio wanapaswa musamehewa ili msamaha uhesabike.
Kwakua Lema hana kosa basi hajafanya lolote kumsamehe maana tayari hana kosa.
Anayepaswa hapa kusamehewa ni sabaya maana ndiye mkosaji.
Hakuna faida yeyote kumsamehe asiye na kosa.
Ila mtu anapata thawabu kwa kumsamehe mkosaji.
Hapa kama kawaida CHADEMA mnatumika.
Msamaha wa raisi uwa unakiwango chakeHapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Umemjibu vizuri sana.Hakuna mahakama iliyothibitisha hilo kutokea.
Kama ni wa kubambika mbona mahakama iliona kuna kesi ya kujibu?Ugaidi wa kubambika sio sawa na Ujambazi uliofanywa hadharani.
Hao vijana wa chadema ni wa kupuuza wapo katika kutetea ujinga kwa gharama yeyote.Umemjibu vizuri sana.
Kasamehe magaidi.Ni Magufuli tu ndio alikuwa na uthubutu wa kusamehe wabakaji.
Mama hawezi kuitwa msamaha kwa majambazi kama Sabaya.
Acha ujinga, subiri kwanza mahakama idhibitishe.Kumtetea Sabaya inabidi usiwe na akili timamu kama mleta mada. Sabaya ni shetani katika mwili wa binadamu. Hafai kutetewa na mpenda amani yeyote. Makonda, Gambo, Mnyeti, Biswalo na Ally Hapi walipaswa wawe magerezani muda huu.
Sabaya ni jambaziHapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Sasa kama mnajua atasamehewa haraka ya nini? Kila jambo hufanyika kwa wakati wake. Subiri yavuta kheriHuu sio upendo kama Lema amesahewa kwann sio Sabaya ubaguzi ni Dhabi kubwa Sawa .Amini nakuambia Rais wetu Mama Dr.Samia atamsamehe na Sabaya Mama ni mwenye hekima sana.
KWANI MAKOSA YA LEMA NA SABAYA YANAFANANA?Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
[emoji1787][emoji1787] dogo fala kweli wewe. Unanifahamu ?Nakufahamu vizuri sana.
Hata sitishiki aisee.
Unapoteza muda wako bure.
Mimi nadhani Mh. Rais amezingatia gravity (uzito) wa kesi zenyewe.Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.