Siaza za kijima hazina nafasi kwenye ulimwengu wa leo.Wewe huoni kama dhana ya siasa za kibabe na ubaguzi zimepitwa na wakati?
Hilo analolifanya Mh. Rais linawachanganya wale wenye siasa zakizamani
Huna akiliPresident has overall power, hata mfungwa wa kunyongwa au kifungo cha maisha aweza mwachia, reference of Papii kocha's criminal justice.
Who are you to question
Sasa wale wajima ndio wanachanganyikiwaSiaza za kijima hazina nafasi kwenye ulimwengu wa leo.
Wamevurugwa vibaya mnoSasa wale wajima ndio wanapagawa.
Lile hujavuta bangi bado, uko mzima! Ole Sabaya ni GaidiNimeona kuna shinikizo la kutaka Ole Sabaya naye afutiwe Kesi kama walivyofutiwa Mbowe, Lisu na Lema
Tunakumbushana tu kwamba Kesi ya Lengai Ole Sabaya Siyo ya Kisiasa
Barikiwa sana!
Hbr yako mlinda legacy, kwanza kbs ili jukwaa hili liweze kujib hoja zako ni vzr uainishe makosa yao ili tujue makosa ya kisiasa jinai na wizi wa kutumia silaha!!Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Waliokua watukanaji sasa wanapata wakati mgumu sanaWamevurugwa vibaya mno
Kwanza ninaunga mkono mama kufuta kesi za Lema.Ibara ya 107B ya katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mahakama zitakuwa huru kuendesha mashauri.
Inashangaza rais Samia kumfutia mharifu makosa
Hii ni kinyume na katiba.
👇
Hivi kwel walinda legacy mmesimama kidete kbs kutetea mhalifu na unyang'anyi wa kutumia silaha? Kisa alikua mpendwa wa kiongoz? Hii inaonyesha kbs mlikua mnafurahia sana maovu kipind kile!!!Dhamira ya Rais sio ya dhati .
Anawatumia tu Chadema kwa manufaa ya kisiasa.
Wenye makosa ndio wanapaswa musamehewa ili msamaha uhesabike.
Kwakua Lema hana kosa basi hajafanya lolote kumsamehe maana tayari hana kosa.
Anayepaswa hapa kusamehewa ni sabaya maana ndiye mkosaji.
Hakuna faida yeyote kumsamehe asiye na kosa.
Ila mtu anapata thawabu kwa kumsamehe mkosaji.
Hapa kama kawaida CHADEMA mnatumika.
Sikujua walikuwa wanajidai nini hasa. Sijui kwa nini Utu uliwatoka. Ni madaraka tu au kulikuwa na jambo lingine?Waliokua watukanaji sasa wanapata wakati mgumu sana
Kabisa. Na Lema.na Lissu hawajawahi kutesa watu kwa nyaya za umemeNa pia Lema na Lissu hawajawai onesha dharau wala kuwanyanyasa kingono wanawake.
never and ever he is a devil.Mwanaume real hafutuwi kesi, Mwanaume anashinda kesi hiyo ndiyo tofauti.
Sabaya will rise like a phoenix!
sabaya alikuwa jambazi,mwizi na mnyang'anyi hakuwa na maadili mema.Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
sabaya alikuwa jambazi,mwizi na mnyang'anyi hakuwa na maadili mema.akifutiwa kesi huyo basi mama atakuwa anabariki ujambazi ndani ya nchi hii.Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Mama Anajua Lema alisingiziwaHapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Case ya Sabaya ni ya kiasiasa kabisa kuanzia kila kitu hadi ushahidi ni case ya kisiasa ambayo imeratibiwa na Rais Samia mwenyewe ….huu ni ukweli uliowazi hii ni case ya Samia kuwaridhisha Chadema na Mbowe hivyo ni case ya kisiasa kabisa!Nimeona kuna shinikizo la kutaka Ole Sabaya naye afutiwe Kesi kama walivyofutiwa Mbowe, Lisu na Lema
Tunakumbushana tu kwamba Kesi ya Lengai Ole Sabaya Siyo ya Kisiasa
Barikiwa sana!
Ameanza kulewa madaraka mapema. Wahuni kama lema anaona wako sahihi. Mtu anaropoka ovyo. Kiitikadi na ccm ni mota na maji. Jitu libinafsi eti mama anamfutia kesi. Sijui hata anajua kesi zinahusu nini. Huwezi kua kiongozi shwari tu na wapinga maendeleo unawafutia kesi huku kijana sabaya aliyepambania sera za ccm kujali wanyonge kupata haki na kupingana na fisadi na wakwepa kodi unajidai humuoni. Adui zake wanamsulubisha kwa ushirika na serikali unayoiongoza.
Waliofutiwa kesi ni kwa sababu zilikua za kisiasa na kisasi, za kubambikiwa. Ni tofauti na kesi za unyang'anyi na kupora.Kesi ikashafika mahakamani, ni utaratibu upi sahihi wa kuifuta? Hii inaweza kuwa ni haki ya msingi ambayo wengi hatuijui, tufundishwe.
Maana tunasikia tu, raisi, kafuta kesi, mara DPP hana nia ya kuendelea na kesi.....