Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Ni kama mshua tu ndani ya nyumba anaweza amua chochote bila bila ata ya kusubiri mawazo ya kikao cha familia (head of state/ head of family).
Dada/kaka, mama (mahakama, bunge,) wamepewa mamlaka tu lakini mwenye neno la mwisho ni baba (head of family/state) ndio maana hashtakiwi ata akitaka kuja kukuua wewe hapo ulipo.
Dada/kaka, mama (mahakama, bunge,) wamepewa mamlaka tu lakini mwenye neno la mwisho ni baba (head of family/state) ndio maana hashtakiwi ata akitaka kuja kukuua wewe hapo ulipo.