Unauza urojo na ukwaju?Kuna biashara uchwara nimeifugua Zanzibar mtaji laki 2 na nusu, lakini Hadi sasa Nimetengeneza zaidi ya milion tatu kwa siku kadhaa tu na kila siku nalaza faida ya laki Kama net profit.
Hela hata sipeleki benki natunza chini ya kapeti tu... Leo ndo napeleka benki milion 2.
I'm happy [emoji4]View attachment 1722606
Hahaha hii ni ugonjwa wa moyo haswa pale inapobaki timu moja halafu inachanaKubet jamani, ukiipatia hiyo ina hela mpaka basi
[emoji16][emoji16][emoji16]Biashara yangu ina copyright issues hivyo samahani jamani sitaitaja maana naifanya mwenyewe tu huku Zanzibar watu wengine bado hawajapata mechanism ya kucopy.
Na soon baada ya wao kucopy nahamia kwenye phase 2.
Mtanisamehe! [emoji120]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Labda uuze mk*ndu lakini nao huwezi kupata faida kila siku sababu hauuzi daily na at the end utaishia kuoza tu nyuma tu, Mtoto wa kiume ukianza kufikiria masuala ya kuuza mwili mapema mapema inasikitisha saana.
Think deep, usifikirie katika mambo yasiyo na tija.
Haaahaaaaahaaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa mkuu wewe unaleta utani na maisha watu tupo mtaani tumepigika, siunaona mtu kaanzisha uzi kama hivi! Maana yake anahitaji msaada, pia wengine wanafaidika kupitia michango ya mawazo inayotolewa,
Unaposema unabiashara ya mtaji mdogo na inakupa faida kubwa, na huisemi, mtu anaona kama unambania au kumnyanyasa kisaikolojia, unatuongezea maumivu mkuu ujue watu tumewahi kwenda kuomba kazi kwenye makampuni ya wageni tukazuiliwa kuingia ndani na wabongo wenzetu,ma secretary wanachana na kutupa barua za maombi ya kazi kwenye dustbin. Kiufupi tunapitia mengi sana mpaka tumejawa na stress inafikia point tunajikuta tukikutana na mtu anayekunyima mchongo kama hivi unakumbuka maumivu yote uliyopitia ya kunyanyaswa na wabongo wenzetu.
Nisamehe sana mkuu niliandika kwa makosa na hasira tu zinazotokana na stress I'm sorry [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Nikuombe kitu kimoja siku nyingine ukitaka kutusaidia ficha location yako alafu eleza wazo lako ili kulinda maslahi yako kama anavyofanya CONTROLA, wengi tutanufaika na Mungu atakubariki [emoji120][emoji120]
Idea nzuri mkuu ukizingatia vyakula vingi ni same. Ukija na nyama choma asee inaweza kuhit sana.Biashara ya chakula...sembe kilo 1 linatoa plate 9_10...
Dona linatoa plate 7
Sasa ukatafuta kijiwe ukaspeciliaze kwenye uchomaji nyama mzuri plus mapande...ukatengeneza formula nzuri ya pilipili..yaan ni ugali na nyama na mboga majani na maharage...kwasiku unalaza 20faida...ila wateja wa dona bei sio ya buku...maana dona halivimbi ni hasara kibiashara...
Utanisamehe kama nakwaza, kwasasa mi naona anzisha dini mpya ambayo bado kuanzishwa, hapo umeulaa na kutokelezea mboniNdugu zanguni mawazo ndio benki kuu kabisa ya kila wazo unalotaka kufanya, basi kwa uzoefu wa waliopitia changamoto fulani za kiuchumi na kijasiriamali ni vyema mngetushirikisha biashara ndogo ambazo mlizibuni na maeneo mlikofanyia hizo shughuli zenu hadi mkafikia hatua ya na mafanikio mliyo nayo sasa.
Tunatarajia ushuhuda, miongozo na shauri zenu zitusaidie nasi kujikwamua hapa tulipo ili nasi tusogee mahali fulani.
Twambie biashara ya matunda umeifanya kwa mtindo upiBiashala ya matunda inalipa sana
Maziwa ya ngombe mkuu haya ya kukamuliwa daily
Mi naishi kibaha ila nikipata sehemu ya kuyauzia kkoo sishidwi kuja huko daily
Mtindi quality Sana ,labda ungeonja ndio ungejua nachomaanishaUnauza mtindi ule mzito sana, hauna vimaji maji?
Hii ipo kifungu cha ngapi kwenye katiba??Ukiona mtu anakuambia biashara fulani inalipa,huyo hafanyi hiyo biashara.
Mkuu wewe unafanya biashara gani kwasasa? Na inakulipa au ndo vile tunalazimisha??Ki ukweli hapa hatuwezi kupata mawazo ya biashara..tunadanganyana.Biashara ni Siri ya mtu.Michongo haitolewi mitandaoni Hata siku moja.Ukiona mtu anakuambia biashara fulani inalipa,huyo hafanyi hiyo biashara.
Mimi nafanya ya chips, sijaanza muda mrefu, nimemuweka wife asimamie kama biashara yake, kwa siki analaza sio chini ya 20, weekend kama jumapili analaza hata 60Biashara yoyote ile nisiyo na ufahamu nayo kimtindo na isio na usimamizi wangu siwezi kuifanya kamwe.
Safi sana mkuu,mkeo ni sawa kabisa.Mimi nafanya ya chips, sijaanza muda mrefu, nimemuweka wife asimamie kama biashara yake, kwa siki analaza sio chini ya 20, weekend kama jumapili analaza hata 60
Hujatuambia ni biashara gani, unaturingishia tu mapesaKuna biashara uchwara nimeifugua Zanzibar mtaji laki 2 na nusu, lakini hadi sasa Nimetengeneza zaidi ya milion tatu kwa siku kadhaa tu na kila siku nalaza faida ya laki Kama net profit.
Hela hata sipeleki benki natunza chini ya kapeti tu. Leo ndo napeleka benki milion 2.
I'm happy [emoji4]
View attachment 1722606
Waha wamekukosea nini?Mhh muha anatengeneza bites[emoji12]..sili hata kama dawa...kazi za kuingiza 20 nyingi mnoo shida yetu tunaishi kwa kufake..na hatupend kujichosha