Kwa waliozoea hiki ni chakula kitamu sana hiki ila ukiwa hujazoea ni shiida.Nlienda bush kumsalimia mjomba angu alikua ni mkulima amevuna mahindi mengi ya njano lakini anko aliishi kivyake hakua na mke dah alipika ugali mkubwa wa njano nikajua anko ameandaa mboga akatenga ugali kwenye chungu atoa chupa inamafuta ya ng'ombe (samli) yameganda akaipisha juu ya jiko ikayeyuka akamimina kwenye bakuli akaweka chumvi ikawa ndio mboga unamega tonge unatoezea kwenye mafuta unameza ugali
Ni kweli kabisaKwa waliozoea hiki nichakula kitamu sana hiki ila ukiwa hujazoea nishiida.
Hawa wageni na ukiacha hayo hawa jamaa wanatabia za kinyongaHawa sijui wa wapi?! Hawana Ndinga Kali, hawana appartment kali na majirani wenye matacle makubwa! [emoji41]
Hawana Tv kubwa Nchi 55 UHD 4K ANDROID TV
Hawana kazi ya maana ya kuwaingizia kipato kizuri kwa mwezi kiasi cha kuweza kumiliki michepuko mitatu na kuendelea wakiwa wameinunulia magari, appartment nk.
Hawana hata Madanga wenye hela!
Hawa watakua sio wanajeiefu[emoji41]
Kama ana watoto jitahidi urudishe fadhila kwao.Amiin. Japo jamaa alitangulia mbele ya haki. Mungu amlaze mahala pema peponi.
very sad brother...MUNGU akuinuee kaaHii thread imenitoa machozi aisee. Ee Mungu simamia walio nyuma yangu wasipitie yale niliyopitia na ninayoendelea kupitia mpaka sasa. Bado sijakata tamaa.
Samahani mkuu hakikisha unamkumbusha kauli yake ili aombe radhi usilee ujingaHii comment yako imenikumbusha mbali sana.
Kipindi cha mapito magumu nilikutana na ndugu kabisa wa mzee wangu. Nikamwambia hali halisi ya maisha.
Yule mzee alinijibu unakosaje hata mlo mmoja, huoni unajaza dunia tu si bora ungekufa na baba yako tu.
Hii kauli iliniliza kama mtoto mdogo.
Ila Mungu si wa mmoja, hivi karibuni tu kulipitishwa mchango wa kifamilia, mzee kashikwa na tezi dume analia kama mtoto. Watoto wake hakuna hata mmoja mwenye muelekeo.
Nilistopisha ule mchango na nikasimamia operation yake mpaka kutoka kwake hospitali.
Yule mzee anajifanya kasahau kila kitu ila najua nafsi yake inamsuta kila akiniona.
Wew achana na nyie wakishua ambao mmekulia maisha mazuri hamuzijui shida wala umasikini.Heeee nyie mmetokea wapi mbona wanajf hatupo hivo
Dada kwa hiyo humu JF kila mtu anazo, ana gari, ana nyumba, kafika chuo kikuu, hatumii techno, anaishi Dar Masaki.Heeee nyie mmetokea wapi mbona wanajf hatupo hivo
Huyo mwamba na shem kamwe usiwasahau maishaniIli kuimarika kuna mapitio mengine ni muhimu kuyapitia ili yawe ukumbusho wa kukosa pale ukipata.
Ila kiukweli kabisa hakuna faraja kwenye ufukara.
Nakumbuka kuna kipindi nilipigika ikawa natembelea washkaji mida ya misosi kiasi cha kujua ratiba ya mlo wa masela wote.
Kuna msela wangu (Mungu amlaze mahala pema) ilikuwa ikifika jioni ananipigia simu kuniita tukapige story, kumbe alishajua hali yangu na ule wito ulikuwa ni msaada indirectly maana alihakikisha nakula ndio naondoka.
Na kila nikiondoka mkewe ananipa kikontena cha msosi ananiambia shem naona chakula cha leo umekipenda beba na hiki utakula baadae.
Hawakujua jinsi gani walikuwa wakinisevu.
Maisha haya sikia tu kwa wengine.Mwamba umetisha nimecheka kinoma kushindia mua duuuu????!!!!
Maisha haya, sikia tu kwa wengine sister.Dah 😕😕
Mkuu watu kama hao ni wachache sana dunia hii....Ili kuimarika kuna mapitio mengine ni muhimu kuyapitia ili yawe ukumbusho wa kukosa pale ukipata.
Ila kiukweli kabisa hakuna faraja kwenye ufukara.
Nakumbuka kuna kipindi nilipigika ikawa natembelea washkaji mida ya misosi kiasi cha kujua ratiba ya mlo wa masela wote.
Kuna msela wangu (Mungu amlaze mahala pema) ilikuwa ikifika jioni ananipigia simu kuniita tukapige story, kumbe alishajua hali yangu na ule wito ulikuwa ni msaada indirectly maana alihakikisha nakula ndio naondoka.
Na kila nikiondoka mkewe ananipa kikontena cha msosi ananiambia shem naona chakula cha leo umekipenda beba na hiki utakula baadae.
Hawakujua jinsi gani walikuwa wakinisevu.
Ewaaaaa😁Dada kwa hiyo humu JF kila mtu anazo,ana gari,Ananyumba,kafika chuo kikuu,hatumii techno,anaishi Dar Masaki,