saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Labda uwe rais wa wehu, bwege lisilo na aibuNimepitia risala alotoa mheshimiwa Rais wetu huko Brazil sijapenda the way walivyo mpa sikio,
Watu wameonekana Kama vile hawana muda na anachozungumza, wanazunguka na sahani za Chakula,
Ni Kama kwenye sherehe wakati wa chakula wanaweka kibwagizo!
View: https://x.com/swahilitimes/status/1858937943106159057?s=46&t=wVwOX7Oilw0E0zILKPC7xg
Ningekuwa Rais ningesema kwanza Naomba msikilize nasema nini
Britanicca
Tumeangalia video moja?Nimepitia risala alotoa mheshimiwa Rais wetu huko Brazil sijapenda the way walivyo mpa sikio,
Watu wameonekana Kama vile hawana muda na anachozungumza, wanazunguka na sahani za Chakula,
Ni Kama kwenye sherehe wakati wa chakula wanaweka kibwagizo!
View: https://x.com/swahilitimes/status/1858937943106159057?s=46&t=wVwOX7Oilw0E0zILKPC7xg
Ningekuwa Rais ningesema kwanza Naomba msikilize nasema nini
Britanicca
Kwenye hivyo vikao, viongozi wa kiafrika wakihutubia ndio muda wa watu kwenda nje kunyoosha viungo, kuvuta sigara, na mambo kama hayo.Nimepitia risala alotoa mheshimiwa Rais wetu huko Brazil sijapenda the way walivyo mpa sikio,
Watu wameonekana Kama vile hawana muda na anachozungumza, wanazunguka na sahani za Chakula,
Ni Kama kwenye sherehe wakati wa chakula wanaweka kibwagizo!
View: https://x.com/swahilitimes/status/1858937943106159057?s=46&t=wVwOX7Oilw0E0zILKPC7xg
Ningekuwa Rais ningesema kwanza Naomba msikilize nasema nini
Britanicca
Nakuunga mkono kwa hili.Mkapa alikuwa na hotuba zilizonyooka alikuwa amepikwa kweli kuwa Rais wa nchi.
Hata Mkapa ni uongo,maana naye speech zake zilikuwa za kusoma.Nyerere na Mkapa. Basi waliofuatia wote walikiwa tu bendera fuata upepo hawana heshima
Sijui hata kinawapeleka nini huko ?Kwenye hivyo vikao, viongozi wa kiafrika wakihutubia ndio muda wa watu kwenda nje kunyoosha viungo, kuvuta sigara, na mambo kama hayo.
Cc: Lucas MwashambwaNimepitia risala alotoa mheshimiwa Rais wetu huko Brazil sijapenda the way walivyo mpa sikio,
Watu wameonekana Kama vile hawana muda na anachozungumza, wanazunguka na sahani za Chakula,
Ni Kama kwenye sherehe wakati wa chakula wanaweka kibwagizo!
View: https://x.com/swahilitimes/status/1858937943106159057?s=46&t=wVwOX7Oilw0E0zILKPC7xg
Ningekuwa Rais ningesema kwanza Naomba msikilize nasema nini
Britanicca
Akili ya Nyerere hakuna Rais amefikia. Angalau Mkapa was smart kiasi flaniHata Mkapa ni uongo,maana naye speech zake zilikuwa za kusoma.
Mtu pekee aliweza ni nyerere maana speech nyingi alikuwa hasomi anatoa kichwani.
HahaaaaaaMasikini hana jeuri.
NJaa Haina baunsa!!!Kumbe 'matajiri' nao wana njaa ya chakula!
Unemuona hahaKuna mhuni yuko ana chat apo
DuhπππππKwenye hivyo vikao, viongozi wa kiafrika wakihutubia ndio muda wa watu kwenda nje kunyoosha viungo, kuvuta sigara, na mambo kama hayo.
Unajua maana G20 kwanza huo sio mkutano wake..Nimepitia risala alotoa mheshimiwa Rais wetu huko Brazil sijapenda the way walivyo mpa sikio,
Watu wameonekana Kama vile hawana muda na anachozungumza, wanazunguka na sahani za Chakula,
Ni Kama kwenye sherehe wakati wa chakula wanaweka kibwagizo!
View: https://x.com/swahilitimes/status/1858937943106159057?s=46&t=wVwOX7Oilw0E0zILKPC7xg
Ningekuwa Rais ningesema kwanza Naomba msikilize nasema nini
Britanicca