Ni dharau kubwa Kiongozi wa Taifa letu kutoa risala huko Brazil wakati wanaotakiwa kusikiliza wanaendelea na shughuli za kupakua chakula

Ni dharau kubwa Kiongozi wa Taifa letu kutoa risala huko Brazil wakati wanaotakiwa kusikiliza wanaendelea na shughuli za kupakua chakula

Nimepitia risala alotoa mheshimiwa Rais wetu huko Brazil sijapenda the way walivyo mpa sikio,

Watu wameonekana Kama vile hawana muda na anachozungumza, wanazunguka na sahani za Chakula,

Ni Kama kwenye sherehe wakati wa chakula wanaweka kibwagizo!

View: https://x.com/swahilitimes/status/1858937943106159057?s=46&t=wVwOX7Oilw0E0zILKPC7xg

Ningekuwa Rais ningesema kwanza Naomba msikilize nasema nini

Britanicca

Tumeangalia video moja?

Karibia viongozi wote wa G20 wameoneshwa kwenye Video kuanzia Saudi, UK, India, China, Brazil wenyeji etc pamoja na UN wenyewe wote walikua wakisikiliza Hotuba kwa Makini kiongozi niliemuona anakula wala sio part of G20.
 
Nimepitia risala alotoa mheshimiwa Rais wetu huko Brazil sijapenda the way walivyo mpa sikio,

Watu wameonekana Kama vile hawana muda na anachozungumza, wanazunguka na sahani za Chakula,

Ni Kama kwenye sherehe wakati wa chakula wanaweka kibwagizo!

View: https://x.com/swahilitimes/status/1858937943106159057?s=46&t=wVwOX7Oilw0E0zILKPC7xg

Ningekuwa Rais ningesema kwanza Naomba msikilize nasema nini

Britanicca

Kwenye hivyo vikao, viongozi wa kiafrika wakihutubia ndio muda wa watu kwenda nje kunyoosha viungo, kuvuta sigara, na mambo kama hayo.
 
Nimepitia risala alotoa mheshimiwa Rais wetu huko Brazil sijapenda the way walivyo mpa sikio,

Watu wameonekana Kama vile hawana muda na anachozungumza, wanazunguka na sahani za Chakula,

Ni Kama kwenye sherehe wakati wa chakula wanaweka kibwagizo!

View: https://x.com/swahilitimes/status/1858937943106159057?s=46&t=wVwOX7Oilw0E0zILKPC7xg

Ningekuwa Rais ningesema kwanza Naomba msikilize nasema nini

Britanicca

Unajua maana G20 kwanza huo sio mkutano wake..
alafu kama amehutubia pia amepata bahati maana unaweza kuitwa na ukabaki mpenzi mtazamaji tu..
 
Kama matatizo ni watu kuchukua sahani za chakula hebu peleleza labda mzee wa ubwabwa alivamia huko kwenye mkutano maana haonekani huku
 
Back
Top Bottom