Ni halali Wazanzibari kufanya kazi za Watanganyika?

Muungano sijawahi kuupenda.Ni kaujinga fulani hivi.Nyerere sijui alikuwa amewaza kitu gani!Ni unyonyaji tu.
 
Bado haujaligusa tatizo.Funguka!
 
Kuoa na kuolewa inakuaje

Masuala ya Ardhi kununua na kuuza, je watu wa bara tunaruhusiwa kwenda kurundikana na kununua mashamba na Ardhi uko Zenjibar na kujenga majumba, maviwanda na mahotel makubwa?

Masuala ya Biashara kodi na makato, ukinunua kitu Zanzibar Kodi inakuaje na makato yanaenda wapi na ukinunua kitu bara Kodi inaenda wapi na makato yanakuaje

Masuala ya usafiri kuingia na kutoka je kuna live permit au unaingia km unaingia uwani na kutoka

Emu gusia na hapo inakuaje mkuu
 
Ebu kuwa na akili..acha kijifanya mjinga na mpumbafu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Kwani kuuliza ndiyo ujinga? Halafu nashangaa nyie mliovamia Zanzibar na kupora mali za watu, kumwaga damu za watu, kutia watu vilema kila siku mnapiga kelele kuhusu Zanzibar. Kwani mlitumwa kuja huku? Nyerere aliwadanganya akifikiri Zanzibar itakuwa sawa na Hawaii kwa Marekani kumbe la. Kawabebesha mzigo. Ondokeni tu huku Zanzibar tumeshawachoka.
 

Kapimwe akili, hauko sawa hata kidogo!! Labda nikuhoji swali dogo: hivi Watanganyika wakihamua kuwatimua Waunguja wote na Wapemba wanao ishi bara na kumiliki mashamba,aridhi ,majengo na viwanda nk, niambie mtakuwa wageni wa nani??

FYI, you people needs us more than we do - don't you forget that, mnatutegemea kwa mambo mengi tu, msione mambo mengi tunamezea mkafikiri sisi ni KUBWA JINGA far from it, I trust this serves you right next time utafikiria mara mbili mbili kabla huja-comment chochote kuhusu masuala ya Muungano. CHEERS.
 
Brother bora ungekaa kimya maana hata ulichokiandika hakieleweki.
 
Ndiyo maana hatuendelei

Yawezekana tunatengenezewa kero ili tuwafukuze watenegeneze sababu ya kujitoa kwenye union
 
Tanzania ni matokeo ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kama Zanzibar ipo ni kwa nini Tanganyika isiwepo.

Kwa nini kuwepo kwa Tanzania kuipoteze Tanganyika lakini Zanzibar iendelee kuwepo?
Swali la ku muuliza nyerere Na wazee wa zamani hili walio fanya hili kwa hapa sidhani kama utapata jibu sahihi[emoji28][emoji28]
 
Wa Tanganyika ni wapumbavu, vunjeni muungano.
 
Inshort hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa... Kuna serikali ya Zanzibar na ya muungano wa Tanzania... Hakuna serikali ya Tanganyika wala Ardhi ya Tanganyika ipo Ardhi ya Tanzania ambayo imetokana na muunganiko wa Tz na ZN... Angekuepo mwalimu nyerer na wazee wengine wangetueleza wao waliona tanganyika tutapata manufaa gani hasa kwa kuungana na Zanzibar na pili kuiloweka Tanganyika kabisa isiwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…