Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Lini maisha yaliwah kuwa rahisi???
Yaani hao top ni matatizo tupu.
Rais wa JMT ni Mzanzibar.
Makamu kwakweli hana influence yeyote ya kisiasa.
PM naye haeleweki.
Tanganyika imebakia Yatima inapigwa front and behind , right ,left and center hakuna wa kuitetea.
Ndio maana kila kitu ni ghali na hakuna anayejali.
Maisha mtaani ni magumu mara dufu. Hao ambao wana jiweza hawawakumbuki kabisa wasiojiweza.