Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #161
Hao kina Sepetu wapo huko hata kabla John Okello hajampindua Sultan Jamshid!! Au hujui mbali ya wangazija na washirazi pia Machogo wa Tabora nao wapo Zanzibar tangu enzi za utumwa??Nenda Jozani pale utakutana na kina Sara na Josephu wanafanya kazi kwenye taasisi ya utalii. Mambo ya muungano hayajulikani tena, but I hope Jozani sio taasisi ya muungano.