Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Yaani hao top ni matatizo tupu.
Rais wa JMT ni Mzanzibar.
Makamu kwakweli hana influence yeyote ya kisiasa.
PM naye haeleweki.
Tanganyika imebakia Yatima inapigwa front and behind , right ,left and center hakuna wa kuitetea.
Ndio maana kila kitu ni ghali na hakuna anayejali.
Maisha mtaani ni magumu mara dufu. Hao ambao wana jiweza hawawakumbuki kabisa wasiojiweza.
Syo walimu tu hata ma DED wako kibao mfano wa kinondoni Hanifa HamzaHivi ni halali kwa Wazanzibari kuajiriwa Tanganyika kama waalimu bila ya kuwa na vibali vya kufanya kazi?
Ni halali Wazanzibari kuajiriwa kama watendaji wa mitaa na Kata?
Ni halali kwa Mzanzibari kuteuliwa kuwa Mkuu wa mkoa au wilaya huku Tanganyika?
Ni sawa kwa Mzanzibari kupewa Leseni ya biashara Tanganyika bila kwanza kupewa kibali cha kufanya kazi?
Mzanzibari anaweza kuteuliwa kusimamia wizara zisizo za Muungano?
Ni halali kwa Mzanzibari kugombea nafasi za kisiasa Tanganyika?
Kodi anayotozwa Mzanzibari inatakiwa iende nchini kwao Zanzibar ama itumike Tanganyika?
Huyu demu nampendaga sana yani ubaguzi wa wazi, hakuna mtanganyika anaeajiriwa znz ila wa znz kibao baraJuzi shirika la POSTA limetangaza kutenga Asilimia 25 ya AJIRA zake Kwa wazanzibar labda ndio wakati watu wenyewe hawazidi Asilimia moja ya watanzania wote
nop kuna tanzania na zanzibar,Ni halali kwa sababu hatuna utabganyika wala tanganyika, tuna tanzania!
Lile jambo litatimiaje nkt ulishanyea kambi mkuu pia umempiga biti bi mkubwa...tuje kwenye point sasa hayo maswala yao ya ukaazi ndo yanayokubagua wewe mtanganyika kupata kazi,ardhi huko zanzibar...bila hivyo hupati kazi wala huwezi kununua ardhi..Mkuu Allen Kilewella , kwanza kazi ni kazi, hakuna kazi ya mtu, hivyo hakuna kazi za Mtanzania wala kazi ya Mzamzobari, kazi ni ya wote. Pili hiki ulichokileta ni ubaguzi wa kutaka kuwabagua Wazanzibari!. Mwalimu Nyerere alisema hii ni dhambi!. Kiukweli somo la uraia linahitajika sana Tanzania kwa watu kama wewe!. Tanzania ni nchi moja, ya JMT, yenye uraia mmoja tuu wa Tanzania, kila Mtanzania ana haki sawa na haki zote za raia wa Tanzania.
Ndani ya uraia wa Tanzania kuna uraia mmoja tuu wa Mtanzania.
Kwa vile Tanzania ni nchi moja ya JMT, ndani ya JMT kuna sehemu moja ya Zanzibar ina utawala wake wa ndani ambao Wazanzibari licha ya kwanza kuwa ni raia wa JMT wenye haki zote za uraia wa JMT, hawa wamepewa haki za ziada za ukaazi wa Zanzibar. Kitambulisho cha ukaazi wa Zanzibar sio kitambulisho cha uraia, hakuna uraia wa Zanzibar kuna uraia mmoja tuu wa JMT na ziada ya ukaazi wa Zanzibar.
Hivyo Wanzanzibari wana haki zote za uraia wa Tanzania na ziada ya haki za ikaazi wa Zanzibar.
Lile jambo langu likitimia, nafungua darasa la bure la Haki, kuwaelimisha Watanzania haki zao mbalimbali zikiwemo haki za uraia.
P
Mtanganyika unapata kazi Zanzibar as an expert, na ardhi unalikikishwa as an investor!. Mimi Mzee Mayalla amefanya kazi Zanzibar for 4 years as a head of security. Usikute kule kuna wadogo zangu!.Lile jambo litatimiaje nkt ulishanyea kambi mkuu pia umempiga biti bi mkubwa...tuje kwenye point sasa hayo maswala yao ya ukaazi ndo yanayokubagua wewe mtanganyika kupata kazi,ardhi huko zanzibar...bila hivyo hupati kazi wala huwezi kununua ardhi..
ni kweliNasikia ukienda Zanzibar na kama wewe ni wa Bara/Tanganyika basi huruhusiwi kununua ardhi huko na kuimiliki kwa kisingizio cha kwamba wao wazanzibari wako wachache na ardhi yao ni Ndogo. Ila wakija huku wao wanamiliki tu ardhi, na hapo hapo asilimia kubwa ya Wazanzibar hawautaki Muungano. Sasa nawaza kama Muungano ungevunjika basi Wazanzibari wote wenye ardhi bara wangerudi makwao Zanzibar na wangepoteza umiliki wa ardhi zao huku Bara. Mi naona hawa Wazanzibar Wangeung'ang'ania huu Muungano kwa kuwa kuna baadhi ya maeneo unawafavour japo maeneo mengine mengi ni changamoto kama wanaumia wao na ndio maana kuna muda wanaona Muungano sio msli kwao. All in All wacha tuendelee kuuthamini muungano, Sisi sote ni Watanzania.
Hapana. Dodoma si eneo tu.Dodoma ni eneo tu, lakini Wazanzibari wenyewe wanashiriki kikamilifu ndani ya CCM. Kwani hujui kuwa CCM ni TANU na ASP?.
Si ni Wazanzibar waliomkataa Mzanzibar mwenzao Salim. Ahmed Salim asiwe rais baada ya Nyerere mwaka 1985, Wakaona ni heri achukue "Mtanganyika" mzee Ruksa?Hapana. Dodoma si eneo tu.
Utayasahau vipi ya akina Jumbe mara hii; unataka hata hili tukumbushane tena?
Ndiyo, inawezekana kukawa na mwonekano wa kimazingaombwe wa "wazanzibar wenyewe wanashiriki kikamilifu ndani ya CCM...", lakini nitakushangaa kama hujui unafiki uliomo ndani ya CCM, bila kujali washiriki wanatokea sehemu gani ya Muungano.
Uzi wa kibaguzi na uliokosa mashiko. Kama mzanzibar kaoa au kaolewa huku bara huyo mtoto anayezaliwa abaguliwe kwa sababu ya wazazi wake?.Hivi ni halali kwa Wazanzibari kuajiriwa Tanganyika kama waalimu bila ya kuwa na vibali vya kufanya kazi?
Ni halali Wazanzibari kuajiriwa kama watendaji wa mitaa na Kata?
Ni halali kwa Mzanzibari kuteuliwa kuwa Mkuu wa mkoa au wilaya huku Tanganyika?
Ni sawa kwa Mzanzibari kupewa Leseni ya biashara Tanganyika bila kwanza kupewa kibali cha kufanya kazi?
Mzanzibari anaweza kuteuliwa kusimamia wizara zisizo za Muungano?
Ni halali kwa Mzanzibari kugombea nafasi za kisiasa Tanganyika?
Kodi anayotozwa Mzanzibari inatakiwa iende nchini kwao Zanzibar ama itumike Tanganyika?
Mwenye mawazo ya kibaguzi kama wewe ndiye mchawi wa kivitendo.Atakayepinga Katiba ya Warioba Mchawi
Huu ndio ukweli.Si ni Wazanzibar waliomkataa Mzanzibar mwenzao Salim. Ahmed Salim asiwe rais baada ya Nyerere mwaka 1985, Wakaona ni heri achukue "Mtanganyika" mzee Ruksa?
Si ni Wazanzibar ndani ya CCM waliomwambia Seif Sharif Hamad kuwa hawatoi nchi kwa vipande vya karatasi?
Duh!Si ni Wazanzibar waliomkataa Mzanzibar mwenzao Salim. Ahmed Salim asiwe rais baada ya Nyerere mwaka 1985, Wakaona ni heri achukue "Mtanganyika" mzee Ruksa?
Si ni Wazanzibar ndani ya CCM waliomwambia Seif Sharif Hamad kuwa hawatoi nchi kwa vipande vya karatasi?
inaelekea unafahamu mengi sana naomba kufahamishwa maana simfahamu kile ni kisiwa cha Zanzibar Zanzibar yenyewe ni ipiYaani hao top ni matatizo tupu.
Rais wa JMT ni Mzanzibar.
Makamu kwakweli hana influence yeyote ya kisiasa.
PM naye haeleweki.
Tanganyika imebakia Yatima inapigwa front and behind , right ,left and center hakuna wa kuitetea.
Ndio maana kila kitu ni ghali na hakuna anayejali.
Maisha mtaani ni magumu mara dufu. Hao ambao wana jiweza hawawakumbuki kabisa wasiojiweza.
Aiseeee!Uzi wa kibaguzi na uliokosa mashiko. Kama mzanzibar kaoa au kaolewa huku bara huyo mtoto anayezaliwa abaguliwe kwa sababu ya wazazi wake?.
Mada nyepesi inayokwenda kinyume na tamaduni za kitanzania inaweza kuvunja mshikamano wetu badala ya kuufanya ukawa imara.