Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
Watanganyika gani? Si hawa Wamasai mnaowatandika viboko na kuwafurushaMbona watanganyika wengi wapo mahotelini Zanzibar
Swali analouliza Allen Kilewella ni kwamba Wazanzibar wanafanyaje kazi bila vibali ! Zanzibar vipo!