Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?


Nakazia !
Genetic nko related kirua na rombo ,
Warombo wana Iq ndefu ya maisha zaidi Mkuu ambako nmetok ,

Ni kawaida Sana mchaga kutumia ela anavyopenda na still aka maintain kua na maendeleo .

Mauwa yetu Tupewe !
 
Wasukuma gani?,wakinga gani? ,Waha gani? Kwa Tanzania hakuna kabila la watu matajiri kama wachaga ,na wachaga hawapo sehemu moja ukienda kila mkoa utawakuta
Netajie kabila ambalo halipo kila mkoa? Mchaga yupo kwenye biashara sawa lakini kwenye sekta zingine hayupo kama madini,kilimo,ufugaji kwenye sekta hizo huwezi kumlinganisha na Musukuma!
 
Wazanaki hawawezi kuwa juu kwani hata Nyerere alipokwenda Uingereza kudai Uhuru wa Tanganyika tiyari alishamkuta Msomi Mangi Marealle ameshamtangulia kudai uhuru wa Kaskazini, yaani Kilimanjaro
 
Us

Usifananishe wachaga na hao mashenzi mabaguzi yenye roho mbaya. Hivi kwani kujilinganisha nao ni sifa? Kwani hamuwezi kuwa nyie kama nyie? I hate this. Hakuna tafiti yoyote ile inayowaunganisha na mayahudi hayo. Na wala sio dili kuwa ndugu zao.
Ni kwel...btw wachaga,wairaq na wanyaturu Wana asili ya uarabu
 
Nakazia !
Genetic nko related kirua na rombo ,
Warombo wana Iq ndefu ya maisha zaidi Mkuu ambako nmetok ,

Ni kawaida Sana mchaga kutumia ela anavyopenda na still aka maintain kua na maendeleo .

Mauwa yetu Tupewe !
Kama uta tafuta pesa usitumie wisely hiyo haina maana yoyote.
 
Kwanza Wachagga wengi na wenye mafanikio makubwa na ya kati hawakusoma, hili lazima ukubaliane nalo, wengi waliishia darasa la saba na kuingia mjini na kapu la karanga.
Hawa jamaa wangesoma kama Wahaya wangekuwa mbali mara 10 ya hivi waluvyo.
Wanachowashindanacho wengine ni moyo jitihada bidii ya kazi na kuheshimu pesa, kumbuka pesa hutoka kwa wasioisimamia kwenda kwa wanaoisimamia.
 
Huwa nakuona uko social. Uko vizuri sana kijana, pigo za ajabu ajabu huna.
Mimi nimekaa na hizo jamii Kwa sana siwezu kuwachukia kabisa Kwa vile hata dada yangu kaolewa huko ...Jamii ambazo ngumu kuwachukia Kwa vile nimekaa nao sana wapare ,wachaga ,Wadigo ,wapemba na wasambaa .

Hao ni watu wa karibu sana Kwa maeneo niliokaa na nawafahamu sana
 
Ninajua unawafahamu
 
Hiki ndio wachagga mmebakiza.


Kutafuta uhalali wa kujisifia.

Jamani Mimi nakaa Uchaggani.


Ukiwa huku utabadilisha mawazo kuhusu inavyowaona wachagga.


Mtazamo wako ni Kama kuona kila Mzungu anaweza kutengeneza ndege. Upumbavu
 



Umenena vyema.

Wengine huanzia kwenye ufundi saa, fundi viatu, uchuuzi Mdogo kisha baada ya muda anainukia na kuwa tajiri.

Kina Rombo green view, kina Baresa, kina B. M. Coach n.k wengine wengiiiiiii
 
Lakini Cha kushangaza huko Uchaggani hamtaki kukaaa.


Mnakukimbia kila siku
 
Halafu Mchaga hata akiwa mtoto mdogo wa Shule ya msingi ukimuachia auze duka atauza vizuri bila kuleta shoti yoyote.

Atajua kurudisha chenchi Kwa usahihi,

Atampa mteja kitu sahihi.

Hawezi kuchomekewa kirahisi.

Hashobokei mademu.

Hacheki Na manyani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…