Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Naam mkuu, siri ya maisha ya furaha ipo kwenye kugundua malengo ya maisha na hili watu wengi wameshindwa kulielewa, ukijua umekuja kufanya nini hapa duniani basi utaelewa makusudio yangu.

Wanadamu wanakula, wanavaa, wanakunywa, wanaoana na wanafanya shughuli zao mambo haya yote ni ya njiani tu na ndio maana yana mwisho, hivyo lipo lengo kubwa sasa hapo ndio kwenye siri ya mafanikio.
Mkuu ahsante kwa jibu zuri, lakini bado naomba kuuliza, Je lengo linaweza kuwa tajiri, kufanya kazi au nn? tafadhal mwongozo..
 
Habari zenu wananchi wa Taifa la JamiiForums, leo katika kutafakari kwangu nimewaza sana haya maisha kuna ups and downs nyingi sana ambazo zingine zina utata sana kutokana na makosa tuliyoyafanya huko way back na unatamani kuwasaidia wengine wasirudie makosa hayo.

Ni kosa gani kubwa ulilifanya kipindi cha nyuma cha maisha yako na ungependa wengine wajifunze ili wasikosee?
Kuacha kuvuta bange[emoji848]
 
Hata Mimi nilichelewa kuijua kweli.

Nimeokoka na kumjua Mungu nikiwa na miaka 20. Sasa Nina miaka 10 ya wakovu.

Mjueni sana Mungu Ili muwe na Amani ndivyo Mema yatakavyowapata.
Ayubu20:21.

Wakujue Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristu uliyemtuma.
Yohana 17:3
We mlokole unafanya nini humu Jf?
Humu kumejaa masela, nyuzi nyingi humu ni za kulana kimasihara kila uzi unanukia harufu ya mbususu [emoji848]
Harufu ya bange, na pombe kali!
Tena ukikaa vibaya kuna mpaka matapeli!
Bila kusahau sisi wapiga nyeto ambao tunapinga ndoa!
 
Habari zenu wananchi wa Taifa la JamiiForums, leo katika kutafakari kwangu nimewaza sana haya maisha kuna ups and downs nyingi sana ambazo zingine zina utata sana kutokana na makosa tuliyoyafanya huko way back na unatamani kuwasaidia wengine wasirudie makosa hayo.

Ni kosa gani kubwa ulilifanya kipindi cha nyuma cha maisha yako na ungependa wengine wajifunze ili wasikosee?
Kuzaliwa Africa badala ya ulaya
 
Mengi...ila kikubwa jitahidi mnapooana mjuane nyie kwanza,msiongeze watu wengi katikati yenu...msiishi na mtu na ikiwezekana mchukue muda mrefu kabla ya kupata watoto.
Ukimjua mumeo/mkeo vizuri una chance kubwa ya kuishi na amani...Kwa wale wasio waumini WA kataa ndoa
 
mi ni smart, siwezi nunua kiumbe

naishi na majirani ambao wana ndoa, wana maisha ya ovyo sana, hadi unashangaa ni mkewe au dada yake

yaani ilimradi tu siku ziende
Mkuu sema tu ukweli badala yakupindisha ili angalau ambao hatujaoa tupate Mwanga kuliko unavyoficha haisaidii
 
Yeah, me mwenyewe leo ndio nimejua. Japo amejaribu kukataa 😅😅
Jamaa kakataa kiaina lakini sioni sababu ya yeye kufanya kwanza tunatumia Id fake sasa anamuoga nani kwasababu akiwa muwazi sisi wengine ambao hajaoa tunaweza kujifunza kupitia yeye
 
Umenitia moyo sana mkuu. Nilikosea vingi lakini nimeanza upya kuna wanao niona kama mwehu kisa nimeanza upya
Sama same to me.
Hakuna kuona aibu kwenye kutafuta riziki
 
Back
Top Bottom