Kindly, elezea kidgo Chief.Sio mbaya kuonyesha uwezo wako mbele za watu, ila kuwa makini kwani wengine si wema.
[emoji117]Uwezo in term of[emoji117]
[emoji117]Akili,kipaji,kazi au hata mafanikio
Imenikuta hii, na nimejifunza aisee. Hope nitachomoka katika hilii
Mkuu mafanikio ni siri, na siri ndi mafanikio yenyewe.Kindly, elezea kidgo Chief.
Appreciate mkuuUkiweza lala siku nzima. Forget everything. Next day inuka, vaaa vizuri pendeza nenda mjini.
Labda ulikuwa unamzingua ( maybe ) au aliogopa kuwa single mom!Kumtia mimba Mwanamke asiependa kubeba Mimba akaichoropoa, sitaki mwingine arudie hio kitu kuna wanawake hawapendi watoto
Sijawahi na sikuwahi kumzingua alisema hataki kua na watoto umri wake wa kuitwa Mama bado, akaichoropoaLabda ulikuwa unamzingua ( maybe ) au aliogopa kuwa single mom!
Muda ukifika ata kukumbuka.Kumtia mimba Mwanamke asiependa kubeba Mimba akaichoropoa, sitaki mwingine arudie hio kitu kuna wanawake hawapendi watoto
Umri wa kuitwa mama ni upi kwani?Sijawahi na sikuwahi kumzingua alisema hataki kua na watoto umri wake wa kuitwa Mama bado, akaichoropoa
Uniambie wewe kwani umri wa kuitwa Mama ni upi?Umri wa kuitwa mama ni upi kwani?
Rudi simba tuKushabikia Simba,
Ila asaivi nime silimu nimekuwa mwananchi
Hahahah!!Kuoa single mama
Hujawahi kula demu wa mtu katika wakovu wako?Hata Mimi nilichelewa kuijua kweli.
Nimeokoka na kumjua Mungu nikiwa na miaka 20. Sasa Nina miaka 10 ya wakovu.
Mjueni sana Mungu Ili muwe na Amani ndivyo Mema yatakavyowapata.
Ayubu20:21.
Wakujue Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristu uliyemtuma.
Yohana 17:3
Pole sana MwambaKuoa single mama
Ku'date mwanaume nisiyempenda kwa kufata ushauri wa mwanamke anapenda baadae/akipendwa
Jmn nilijikaza lakini nilishindwa, sikua na hisia before na baada ya mahusiano kuisha sikuwa na hisia pia,
Na aligundua akavunja mahusiano kwa kusema siku ukipata unayempenda haya mahusiano yataota mbawa
Dah! Kumbe wanawake wenye hisia bado wapo, maana % kubwa ya wanawake ukiwapa pesa tu wanapata hisia hata kama hawakukupenda beforeKu'date mwanaume nisiyempenda kwa kufata ushauri wa mwanamke anapenda baadae/akipendwa
Jmn nilijikaza lakini nilishindwa, sikua na hisia before na baada ya mahusiano kuisha sikuwa na hisia pia,
Na aligundua akavunja mahusiano kwa kusema siku ukipata unayempenda haya mahusiano yataota mbawa
Hii kitu ilini cost, took me 2 years ku recover, sikuamini the same people i trusted ndio the same people wanataka udidimie.Kuamini watu kupita kiasi:
Naamini kabisa huwezi zungukwa na marafiki muda wote. Kuna wengine wanaokuzunguka si watu wazuri. Mfano watu ambao wanakusengenya na kukusemea mabaya. Watu ambao hawataki mafanikio yako.
Kuruhusu watu wajue mapungufu yako:
Wanafamilia au watu wa karibu pale wanapojua mapungufu yako wanayatumia kama fimbo ya kukuchapia. Angalia sana wa kumweleza mambo yako.
Labda wanawake maskini/wenye tamaa,Dah! Kumbe wanawake wenye hisia bado wapo, maana % kubwa ya wanawake ukiwapa pesa tu wanapata hisia hata kama hawakukupenda before