Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

nafikiri ulikua sahihi mwanzo kwakua nia nikukimbia nyumba zakupanga ukiwa kwako unaweza jiendeleza taratibu kulingana na mahitaji.
Wakati unakimbia kodi mara nyingi huwazi dada wa kazi atalala wapi lakini huyu ni sehemu ya familia.
 
Mninga mchwa hawawezi kula
 
Hela ingeruhusu ungeenda vertical, chini jiko, dining sebule, choo cha wageni na master bedroom. Juu vyumba vya watoto na family bathroom.
 
. Najutia kwenda kujenga nyumba maeneo ya karibu na bagamoyo kwa kudanganywa na awamu ya nne kuwa bandari itajengwa soon,bwana weee!! Tunajuta mpaka leo na washkaji zangu,nyumba ambazo zingekuwa maeneo ya karibu na tegeta tungekula kodi hadi laki tano kwa mwezi,

Sasaivi tunaambulia kodi ya laki na nusu eti nyumba nzima
 
Mambo yatabadilika tu, kuanzia Vikawe mpaka Bunju jiandaeni. McJobs alirudi kurndeleza bandari kodi ırağıma 2M kama Sinza
 
Labda mti wa mlingoti,maana ni mgumu balaa,ile miti ya nguzo za umeme,


mchwa nuksi kabisa,sijui wanafaida gani hadi Mungu aliwaumba mchwa na kunguru
Miti ya mlingoti si ndiyo inatla sufi. Miti ya Nguni za umeme ni mitiki
 
Hela ingeruhusu ungeenda vertical, chini jiko, dining sebule, choo cha wageni na master bedroom. Juu vyumba vya watoto na family bathroom.
Sure nilikuwa muoga sana, Mungu ameijalia naanza mwakani sehemu nyingine
 
Wawekee watoto en-suite na uanze kuwapa jukumu la uşağı wa chumba na choo chake.
 
Asubuhi watu wanasubiriana kutumia choo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…