DOKEZO Ni kweli Hospitali ya Taifa Muhimbili kulala kwa siku ni gharama zake ni tsh 50,000?

DOKEZO Ni kweli Hospitali ya Taifa Muhimbili kulala kwa siku ni gharama zake ni tsh 50,000?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu Ungeelewa Usingeona Kuwa Jibu langu ni la kifedhuli!

Tatizo watu Wengi mnadhani Kuwa hospitali za Serikali.Huwa zinapewa Pesa ya Kujiendesha..
Lakini Ukweli utaujua kama Ukiwa ndani ya Field hii..

Nitarudia tena Serkali haitoi ruzuku wala offer ya pesa Kwa hospitali yoyote..

Watumishi Wa afya ,Madaktari l, Nurses na wafanyakazi wote wanao wahudumia Nyinyi Mnafikiri wanatoa wapi Posho?? Na Motisha?
Madawa ambayo mnatumia, Na vifaa mnavyotumiwa kuhudumiwa vinatoka wapi??
Mnafikiri uendeshwaji wa Hospitali, Ukarabati na Vitu vingine vyote kwa Ujumla Pesa zimatoka wapi?

Wakati mwingine ni vyepesi sana Kulaumu kwakuwa Haujui Hali ilivyo, Sisi tulio ndani ya Hiyo hali.tunajua Maumivu yake..

Na ndo maana Nikakwambia kwa huduma Unayopewa Humo na Hadhi ya Hospitali yenyewe gharama ya 50k Kwa Siku Ni ndogo sana...


kuna Kipimdi nilikuwa na Rafiki angu Mmoja ni Mbunge..
Kuna Muda tulikuwa Tukibishana sana Kuhusu haya mambo (Kama wewe Hivi) tulifikia Mpaka Kutukanana..

Alipopata Ubunge akapelekwa kamati ya Afya Baada ya Kujua Kuhusu Hospitali zinavyoendeshwa baada ya Miaka miwili ndani ya kamati ya afya aliniita na Kuniomba Msamaha..

Kuna Muda Ni vema Kufanya Research ya Kina Kuhusu Kitu kabla hujalaumu na Kubeza
Haijalishi, je umma wa Watanzania unamudu hizo gharama? Tukizungumzia umma ni lazma ufuatilia the lowest income earners of the country. Mtu analipwa laki na nusu kwa mwezi. Je, akiumwa anatibiwaje hapo?

Huyo mbunge rafikio anaweza kwenda kulala hata wodi ya million kwa siku maana bunge linamlipia. Wewe unaweza lipa hio elfu 50 maana unaweza kuwa unatengeneza 6 times the sum of money kwa siku.

Je, yule mtanzania muuza maji ya kandoro atawezaje kumudu kumlipia mzazi wake alielazwa elfu 50 kila siku?
 
Mama katoa million 700 kwa kushabikia mpira, angekuwa mshabiki wa matibabu weñgi wangepona.
Vipaumbele hatuna hii nchi, katika sector ambayo haitakiwi ubabaishaji ni sector ya afya. Mtaji wa kwanza wa nchi inayojitambua ni raia wenye afya njema ili wazalishe mali kwa wingi na walipe kodi. Sio siasa chafu na wizi wa kura kama ambavyo jamuhuri ya Mogadishu inavyofanya. Wanatumia nguvu wasalie madarakani ili waendelee kulidhoofisha taifa kwa rushwa,ufisadi na kujilimbikizia mali. Very sad thing.
 
Habari zenu wakuu.

Hizi taarifa za kwamba gharama za kitanda hospitali ya taifa Muhimbili kuwa ni tsh 50,000 ni za kweli au story za vijiweni, kama hizi gharama ni za kweli basi kama taifa hatupo salama na nimeamini Tanzania ndio jehanamu yenyewe,mtu ajapona lakini anaona bora akajiuguze nyumbani mwenyewe kwenye chumba chake cha efu arobaini kwa mwenzi.

Hizi gharama asilimia 90 ya watanzania hatuzimudu,na watakao zimudu hawatoboi mienzi hata miwili.
Chadema wakiwahimiza muitoe madaraka hii takataka ya fisiemu mnawaona kama wajinga, sasa hayo ndio matokeo yake.
 
Vipaumbele hatuna hii nchi, katika sector ambayo haitakiwi ubabaishaji ni sector ya afya. Mtaji wa kwanza wa nchi inayojitambua ni raia wenye afya njema ili wazalishe mali kwa wingi na walipe kodi. Sio siasa chafu na wizi wa kura kama ambavyo jamuhuri ya Mogadishu inavyofanya. Wanatumia nguvu wasalie madarakani ili waendelee kulidhoofisha taifa kwa rushwa,ufisadi na kujilimbikizia mali. Very sad thing.
Kaka unaogopa nini kusema Jamhuri ya Tanzania ?
Hatuwezi pata mabadiliko kama hata jina la nchi hii nzuri inayoharibiwa na masisiemu mnaogopa kulitaja.
 
Habari zenu wakuu.

Hizi taarifa za kwamba gharama za kitanda hospitali ya taifa Muhimbili kuwa ni tsh 50,000 ni za kweli au story za vijiweni, kama hizi gharama ni za kweli basi kama taifa hatupo salama na nimeamini Tanzania ndio jehanamu yenyewe,mtu ajapona lakini anaona bora akajiuguze nyumbani mwenyewe kwenye chumba chake cha efu arobaini kwa mwenzi.

Hizi gharama asilimia 90 ya watanzania hatuzimudu,na watakao zimudu hawatoboi mienzi hata miwili.
HIZO NI GHARAMA ZA ICU
 
Mkuu Ungeelewa Usingeona Kuwa Jibu langu ni la kifedhuli!

Tatizo watu Wengi mnadhani Kuwa hospitali za Serikali.Huwa zinapewa Pesa ya Kujiendesha..
Lakini Ukweli utaujua kama Ukiwa ndani ya Field hii..

Nitarudia tena Serkali haitoi ruzuku wala offer ya pesa Kwa hospitali yoyote..

Watumishi Wa afya ,Madaktari l, Nurses na wafanyakazi wote wanao wahudumia Nyinyi Mnafikiri wanatoa wapi Posho?? Na Motisha?
Madawa ambayo mnatumia, Na vifaa mnavyotumiwa kuhudumiwa vinatoka wapi??
Mnafikiri uendeshwaji wa Hospitali, Ukarabati na Vitu vingine vyote kwa Ujumla Pesa zimatoka wapi?

Wakati mwingine ni vyepesi sana Kulaumu kwakuwa Haujui Hali ilivyo, Sisi tulio ndani ya Hiyo hali.tunajua Maumivu yake..

Na ndo maana Nikakwambia kwa huduma Unayopewa Humo na Hadhi ya Hospitali yenyewe gharama ya 50k Kwa Siku Ni ndogo sana...


kuna Kipimdi nilikuwa na Rafiki angu Mmoja ni Mbunge..
Kuna Muda tulikuwa Tukibishana sana Kuhusu haya mambo (Kama wewe Hivi) tulifikia Mpaka Kutukanana..

Alipopata Ubunge akapelekwa kamati ya Afya Baada ya Kujua Kuhusu Hospitali zinavyoendeshwa baada ya Miaka miwili ndani ya kamati ya afya aliniita na Kuniomba Msamaha..

Kuna Muda Ni vema Kufanya Research ya Kina Kuhusu Kitu kabla hujalaumu na Kubez

Nakubalina na Wewe kabisa 100%
Kama tukibadilisha Sera na Wizara ya afya ipokee Ruzuku na Hospitali Zisijiendeshe zipokee Pesa Moja kwa Moja kama vipokeavyo Vyuo na Mashule Tunaweza Kumudu Gharama
Umetufumbua macho wengi kuwa serikali haitoi ruzuku kwenye mahospitali hivyo zinajiendesha zenyewe kupitia michango.
KIUFUPI SERIKALI IMETUTUPA WENYE KIPATO CHA CHINI.
 
Sijaelewa kinachofanya hiyo hospital gharama zake kuwa juu kuzidi Johannesburg Hospital wakati ni Hospital ya Serikali achilia mbali gharama za vipimo utasikia laki mbili na nusu kipimo kimoja mara hiki na hiki laki sita hapo ni siku moja matibabu ya wiki hapo inakua balaa..
 
Gentleman,
zidisha juhudi katika kufanya kazi, kwani mtaji ulionao ni nguvu zako mwenyewe.

ukiwa na kipato cha uhakika na ukiwa na bima ya Afya huwezi kua na mashaka na matibabu na wala huwezi kupotoshwa na kutishwa na yeyote. epuka uvivu.

Muhimbili kila idara imejaa wagonjwa wakitafuta tiba, kuna wakati ilifikia hadi wanalala sakafuni kwa wingi wao.

hiyo inamaanisha waTanzania wana uwezo wa gharama za muhimbili.

sasa hiyo asilimia 90 unaojaribu kupotoshwa eti hawawezi kumudu, inaweza kua ni wewe na huyo mpotoshaji pekee ambao ndiyo hamumudu hizo, ila mnamudu kula bata mpka asubuh kwetu Pazuri na kwingineko, na huku mkimiliki iPhone ya milioni 4, isiyo na vocha wiki nzima 🐒
Mkuu watu wanapozungumza gharama za Hospital wanazungumzia kwa ujumla kuwa hiki Watanzania wengi wataweza kumudu sio kwamba ukiwa na Bima wewe basi hata ndugu wengine kutoka Kongwa huko na pia wana uwezo wa kuwa na bima ondoa ubinafsi harafu uelewe mtoa hoja anamaanisha nini..
 
Haijalishi, je umma wa Watanzania unamudu hizo gharama? Tukizungumzia umma ni lazma ufuatilia the lowest income earners of the country. Mtu analipwa laki na nusu kwa mwezi. Je, akiumwa anatibiwaje hapo?

Huyo mbunge rafikio anaweza kwenda kulala hata wodi ya million kwa siku maana bunge linamlipia. Wewe unaweza lipa hio elfu 50 maana unaweza kuwa unatengeneza 6 times the sum of money kwa siku.

Je, yule mtanzania muuza maji ya kandoro atawezaje kumudu kumlipia mzazi wake alielazwa elfu 50 kila siku?
Watanzania wengi wamedumaa sana na ubinafsi ndio upo vichwani vyao yeye akiwa na Bima na kipasso wakati ndugu zake hawana hizo Bima anajibu anavyotaka tu hapa..
 
Back
Top Bottom