Hana mchango wowote ameharibu nchi hii anaenda huko kufanya nini ? Ameuza gas yote ya nchini nchi inahaha umeme wakati tuna gas haina faida kwa maslahi yake au hujui hilo ? Akija Rais makini huyu anatakiwa anyongweKwani akigombea ni kwa ajili ya shida!? Naamini ikiwa anagombea basi anataka kutoa mchango wake na nguvu zake kwa faida ya Africa.
Mbona rahisi tu
Kazi za mwenyekiti wa kamisheni ni zipi?? Ila JK anafaa kabisa...asie na wenge mwenye kisimama kidete..JK is better than OdingaWewe ndo ungefanya fact check kuliko kudandia treni kwa mbele ukaaibika. Kuna tofauti kati ya mwenyekiti wa AU ambaye automatically ni mkuu wa nchi wanachama na nafasi hsigombewi na Mwenyekiti wa kamisheni ya tume ya AU ambayo ni nafasi ya kugombea.
haaaaaaaaa haaaaa. Ungejua usingesema hivyo.sibishani na watu wafupi vibonge,umechomokea shati pana la drafti na suruali ya kitambaa chini raba nyeupe.huwa ni wabishi sana nyinyi.
Umesahau alimwapisha kinyume na utaratibu?Acha uropokaji na uongo. Tangu lini Miguna akawa Swahiba wa Odinga.
Hujui hiyo vita hapo congo Ina athari kubwa ya uchumi Huku EAC?? Congo ilitulia ni faida kwa nchi za ukanda wa EAC....Wacha mventwaa wafurushweAiseeh! Yani anagombea kisa akapambane na Paul Kagame. Kweli Tanzania Kuna shida ya akili.
Kama jk anagombea itakua poa sana. AU imekua inapewa viongozi wanaozungumza kifaransa kwa njama za ufaransa. Baadhi wametumika kwa maslahi ya ufaransa. Kuna hii kashfa ya kupewa hadhi israel ya kushiriki vikao vya wakuu wa AU. Hii ilitokea enzi ya felix tshisekedi kama mwenyekiti. Ni kitu kilistaajabisha kwani israel haina lolote na afrika ila kufanya ujasusi na kupora madini ya afrika.Ndugu habari za muda huu, naomba kuuliza kwa wadau mbali mbali na hata serikalini kama inawezekana tupewe majibu kabla sijatoa ya moyoni...
Kuna tetesi huko huko duniani nazisikia naomba uthibisho wake maana kuuliza si ujinga.....
Je, Ni kweli mswahili wa msoga aliyepata kuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10, mwenye mtoto Naibu waziri na mke mbunge anagombea uenyekiti wa kamisheni ya umoja wa Afrika?
Nimeuliza kwanza kabla ya kutoa maoni ili tumtendee haki.
Ahsanteni.
Kwaiyo JK atakuwa ndio Commander in chief wa Vikosi vya kulinda amani DRC?Kama kikwete akipita!
Operation ya pale kongo itafana sana,nadhani umenielewa mjomba!!
Kitanukishwa hadi kigali Kwa moyo!!
Acha wivu mzee kwanini hugombei wewe au baba yako au nyie mmetosheka?Hivi kuna binadamu hawatosgeki ? Ana shida gani ? Kuna shida mahali....maana hata mke hamna kitu kichwani amelazimisha ubunge khsaa mtoto kilaza wa karne....lakini fitna na shirkii
Hapo tamaa iko wap chief, mbona unakua na mindset ya ajabu. Let the go for whatever he qualify. Let people use their gifts n talents.Tamaa mbaya sana
Waafrika mmekata tamaa kabisaKikwete anastahili kuwa Rais wa Africa.
Over
This is purely personal. Kama mkewe hana kitu kichwan wewe inakuhusu nini.. mbona mama zako dada zako wenye viti kichwan bado wana hangaika!?Hivi kuna binadamu hawatosgeki ? Ana shida gani ? Kuna shida mahali....maana hata mke hamna kitu kichwani amelazimisha ubunge khsaa mtoto kilaza wa karne....lakini fitna na shirkii
Umekata tamaa wewe mkuu, usiwasemee watuWaafrika mmekata tamaa kabisa
If he qualify, have qualities it takes, let him be. Only the brave wins hearts of others.Kikwete anastahili kuwa Rais wa Africa.
Over
Ukiwaweka kikwete na odinga kwenye mizani ya kiuongozi, odinga hamfikii hata nusu. Jk ame practise presidency not just competing kama huyo odinga. The guy has been number one kwenye nchi mashuhuri kama tanzania, huwez mlinganisha na Odinga. A trial n error presidency candidate, never. Anatembelea history tu ya baba ake not otherwisebinafsi sina hakika kuhusu JK.
but kiongozi wa upinzani kenya Raila Amolo Odinga imethibitika anamezea mate kurithi mikoba ya Fakii Mwenyekiti wa commission anaemaliza Muda wake 🐒
hata hivyo kwa record zake kitaifa na kimataifa, anafaa zaidi nadhani pengine kuliko kiongozi Mwingine mwenye nia hiyo Barani Africa kwa wakati huu 🐒
Astaghafirurah!!!!!!!!Kikwete anastahili kuwa Rais wa Africa.
Over
Nyie watanzania mmekata tamaa sana. Yaani mtu anaweza mfikiria kikwete kuwa kiongozi wa maana? Hamna watu kabisa inaonekana. Anyway. Ngoja nijiandae na safari yangu nyingine baada ya kutoka Ethiopia. Muwe na uchungu na nchi zenu nyie madogo.Umekata tamaa wewe mkuu, usiwasemee watu
Daaah...nyie kwenu amna Elimu gani? Yaani mmefanya suala la uongozi sasa lionekane jepesi sana toka kikwete awe rais imeonesha kila mtu anaweza kuwa rais. Urais umekuwa Urahis. Keshokutwa na wewe utataka kuwa rais. Na kwa kuwa watanzania wengi ndo hivyo unapata urahisi.Ukiwaweka kikwete na odinga kwenye mizani ya kiuongozi, odinga hamfikii hata nusu. Jk ame practise presidency not just competing kama huyo odinga. The guy has been number one kwenye nchi mashuhuri kama tanzania, huwez mlinganisha na Odinga. A trial n error presidency candidate, never. Anatembelea history tu ya baba ake not otherwise