Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie chawa kweli kama ni kupumzika kwa nini asipumzike tu hapa hapa .kwa nini asifanye nchi yake nayo iww kama dubaiMama anastahili kupumzika Dubai, anaongoza nchi kubwa sana ya watu milioni 60, wakati Kuna wanaume wamekimbia familia ya mtoto moja. Imagine unaongoza nchi ambayo ndani yake Kuna majitu ya hovyo kama Mdude
Hivi kwani Rais Hana off ama likizo??Mda wa kula Bata.
Safari za sirisiri kama hizi ujue kuna dili kubwakubwa ndani yake.
Rais ni mali ya uma hapaswi kusafiri nje bila taarifa.
Atanue nini sasa,anapata wapi huo muda wa kutanua wakati nchi ina matatizo lukuki....kama ni kweli alienda basi kuna shida mana na kikwete nae alikuwaga hivi hivi mwisho wasiku tukasikia anataka kuhonga bagamoyo yetu kwa wachina.
Kila leo yuko likizo kwao Zanzibar!Hivi kwani Rais Hana off ama likizo??
Samia hana huo upuuzi! Ni mweupeee hana hata tone la mauchafu yenu! Na kwenye utawala wake hatazalisha wakuu wa mikoa/wilaya matajiri kama akina Makonda, Sabaya, Mnyeti!! Wezi now wanashughulikiwa kwa jicho la Umma, no kufichaficha or kumtimua na kumdhihaki CAG
Comments nyingi ni za mawazo ya Kimasikini!
Sijawahi kuona Rais Commited kama tuliyenaye sasa!
Kuna mataifa sasa hivi yanawaza kusimamisha Rais Mwanamke.
Rais Samia namlinganisha na Chancellor Angela Mikhel wa Ujerumani.
Katika watu wasiopenda Mapesa ya Dhambi ni Huyu Mama!
Hivi kupumzika ni Dhambi!
Kuna wakati Mwanadamu anahitaji MUDA WAKE PEKE YAKE KWA AJILI YA RE TREAT...
KANISA KATOLIKI LINA ENDESHA RETREAT...NA UNAPATA WATU WAPYA Muda tu baada ya kumaliza retreat.
Mawazo mengine Bhana du!!!
Weka ushahidi hapa wizi wa akina January, Nape nk! Au ndiyo zile kele za Lowasa, Rostam mafisadi and baadaye wakakumbatiwa na huyo mtu aliyewaita mafisadi! Report ya CAG kwa kiasi kikubwa inagusa miaka ya giza 2015-2021Lakini anazalisha wakina January, Nape etc!! Hawa vijana wake ni wezi.
UjingaAlikwisha kula hela ya Wachina lakini Jiwe akampiga stop na sasa kwa vile anamcontrol Samia ndio anashinikiza ule mradi ufufuliwe ingawa hawajatoa sababu za msingi kutengua kauli ya JIWE kuwa ule miradi ni wa kifisadi!!!
Kwa nini Jiwe hakuimaliza si aliongoza miaka 5 au? Mama ndio kwanza 2 ,una hoja nyingine?It could be because of her ignorance, anahangaika kukopa na kuongeza deni la Taifa lakini hajui hizo pesa zinatumikaje!! Ndio maana muda si mrefu atakuja jikuta anashindwa kumaliza miradi alioachiwa na Jiwe huku nchi imelimbikiza madeni nje na ndani na kuanza kutoa visingizio vya kumlaumu Jiwe ili hali yeye ndio mwenye mapungufu!
Ulitaka aende likizo Kwa baba Yako au kwako?Kila leo yuko likizo kwao Zanzibar!
Tatizo la Watzn ni uongo Yuko salama kumbe Kuna mengine Yale Yale ya Jiwe ndio maana hakuna anayewesa amini.Na wewe unaamini huo ujinga? Hao watu uliowataja wakiamua kukutupia coordinates matango upambane nazo hawawezi? MAMA YUPO SEHEMU SALAMA ANAENDELEA NA MFUNGO, NI VILE TU WATU WAMEMMISS WANATOA HAYA MANENO YOTE, People wanatamani vile vijembe vyake, siyo mbaya pia watu kummiss Rais wao
Acha dharauHapa Tanzania angepumzikia wapi wakati kila sehemu ni kuchafu, matope, vumbi na harufu zisizoeleweka.
Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.
View attachment 2585662View attachment 2585663
Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Hahaha..Mwamba angekuwa kashawasha magari na uelekeo ni Chato, huko njiani ni mwendo wa kutumbua wajingawajinga.
Hata ndege za maraisi wa nchi zinakuwa tracked tu unless serikali iombe taarifa za ndege hiyo zisiwekwe ndo hawaweki. Na hizo taarifa wanazitoa kwenye sources ambazo airliners ana airports zinasubmit maana ni lazima ziwe submitted kwenye vyimbo husika.Hii nchi inawapumbavu wengi sana mkuu, ni rahisi sana kumezeshwa ujinga na kuubeba kama ulivyo!
Hizi nongwa hazina msaada kwa anayezileta na anayezisoma. Ni kujipa unyonge tu wa moyoni.Mda wa kula Bata.
Safari za sirisiri kama hizi ujue kuna dili kubwakubwa ndani yake.
Rais ni mali ya uma hapaswi kusafiri nje bila taarifa.
Rais hana haki ya kupumzika?.Mkipiga sana makelele mtaambiwa ilienda kufanya nini.
Kuna kwenda kupumzika na kuzurura.