Ni kweli Rais Samia alikuwa mapumzikoni Dubai?

Ni kweli Rais Samia alikuwa mapumzikoni Dubai?

Mama anastahili kupumzika Dubai, anaongoza nchi kubwa sana ya watu milioni 60, wakati Kuna wanaume wamekimbia familia ya mtoto moja. Imagine unaongoza nchi ambayo ndani yake Kuna majitu ya hovyo kama Mdude
Nyie chawa kweli kama ni kupumzika kwa nini asipumzike tu hapa hapa .kwa nini asifanye nchi yake nayo iww kama dubai
 
Atanue nini sasa,anapata wapi huo muda wa kutanua wakati nchi ina matatizo lukuki....kama ni kweli alienda basi kuna shida mana na kikwete nae alikuwaga hivi hivi mwisho wasiku tukasikia anataka kuhonga bagamoyo yetu kwa wachina.

Alikwisha kula hela ya Wachina lakini Jiwe akampiga stop na sasa kwa vile anamcontrol Samia ndio anashinikiza ule mradi ufufuliwe ingawa hawajatoa sababu za msingi kutengua kauli ya JIWE kuwa ule mradi ni wa kifisadi!!!
 
Samia hana huo upuuzi! Ni mweupeee hana hata tone la mauchafu yenu! Na kwenye utawala wake hatazalisha wakuu wa mikoa/wilaya matajiri kama akina Makonda, Sabaya, Mnyeti!! Wezi now wanashughulikiwa kwa jicho la Umma, no kufichaficha or kumtimua na kumdhihaki CAG

Lakini anazalisha wakina January, Nape etc!! Hawa vijana wake ni wezi.
 
Comments nyingi ni za mawazo ya Kimasikini!

Sijawahi kuona Rais Commited kama tuliyenaye sasa!

Kuna mataifa sasa hivi yanawaza kusimamisha Rais Mwanamke.

Rais Samia namlinganisha na Chancellor Angela Mikhel wa Ujerumani.

Katika watu wasiopenda Mapesa ya Dhambi ni Huyu Mama!

Hivi kupumzika ni Dhambi!

Kuna wakati Mwanadamu anahitaji MUDA WAKE PEKE YAKE KWA AJILI YA RE TREAT...

KANISA KATOLIKI LINA ENDESHA RETREAT...NA UNAPATA WATU WAPYA Muda tu baada ya kumaliza retreat.

Mawazo mengine Bhana du!!!

It could be because of her ignorance, anahangaika kukopa na kuongeza deni la Taifa lakini hajui hizo pesa zinatumikaje!! Ndio maana muda si mrefu atakuja jikuta anashindwa kumaliza miradi alioachiwa na Jiwe huku nchi imelimbikiza madeni nje na ndani na kuanza kutoa visingizio vya kumlaumu Jiwe ili hali yeye ndio mwenye mapungufu!
 
Alikwisha kula hela ya Wachina lakini Jiwe akampiga stop na sasa kwa vile anamcontrol Samia ndio anashinikiza ule mradi ufufuliwe ingawa hawajatoa sababu za msingi kutengua kauli ya JIWE kuwa ule miradi ni wa kifisadi!!!
Ujinga
 
It could be because of her ignorance, anahangaika kukopa na kuongeza deni la Taifa lakini hajui hizo pesa zinatumikaje!! Ndio maana muda si mrefu atakuja jikuta anashindwa kumaliza miradi alioachiwa na Jiwe huku nchi imelimbikiza madeni nje na ndani na kuanza kutoa visingizio vya kumlaumu Jiwe ili hali yeye ndio mwenye mapungufu!
Kwa nini Jiwe hakuimaliza si aliongoza miaka 5 au? Mama ndio kwanza 2 ,una hoja nyingine?
 
Na wewe unaamini huo ujinga? Hao watu uliowataja wakiamua kukutupia coordinates matango upambane nazo hawawezi? MAMA YUPO SEHEMU SALAMA ANAENDELEA NA MFUNGO, NI VILE TU WATU WAMEMMISS WANATOA HAYA MANENO YOTE, People wanatamani vile vijembe vyake, siyo mbaya pia watu kummiss Rais wao
Tatizo la Watzn ni uongo Yuko salama kumbe Kuna mengine Yale Yale ya Jiwe ndio maana hakuna anayewesa amini.

Pia Samia Toka amekuwa Rais haiwezi pita siku 3 hajaenda kwenye event ya public au labda hajafanya ziara za ndani au za Nje ndio maana zaidi ya Siku 10 Sasa lazima watu waulize.
 
Huenda alienda kuweka sawa gawio lake
Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.

View attachment 2585662View attachment 2585663

Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
 
Hii nchi inawapumbavu wengi sana mkuu, ni rahisi sana kumezeshwa ujinga na kuubeba kama ulivyo!
Hata ndege za maraisi wa nchi zinakuwa tracked tu unless serikali iombe taarifa za ndege hiyo zisiwekwe ndo hawaweki. Na hizo taarifa wanazitoa kwenye sources ambazo airliners ana airports zinasubmit maana ni lazima ziwe submitted kwenye vyimbo husika.
So, kusema ndege za maraisi haziwi tracked si kweli unless serikali ndio hizo info zisiwe public
 
Back
Top Bottom