SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
utatukana sana bro. ila nikwambie tu hiyo 2025 utakuwa dissapointed the way ccm itapigiwa kura again kirudi madarakani.Sasa hiv tunajua sio kazi yao Ndio si wapo madarakan , uchaguz ukifika ndo itakua kazi yao sasa kutafuta wananchi had mapangon na kuwachezea viduku wawapigie kura, ***** zao wataioata fresh mbwa hawa
Anasafiri kuzurura au kufanya kazi? Acha uzushi wa kipuuziIla mama anasafiri sana,tangu aanze urais hajatulia kabisa sijui muda wa kufanya maamuzi sahihi anaupata sangapi,muda wa kufikiria changamoto za wananchi na namna za kuzitatua,hata muda wa Ibada na Mwenyezi Mungu anaupata kweli,kila leo safari,events....na ndo ameanza tu majukumu
Utalia wewe..Kama hutaki kufanya kazi kwa bidii..sisi wenzanko tunaimani na mama SSH..na aliyekuambia mama Ni minne tu ni Nani..yupo Sana..kikubwa tumuunge mkono na serikali yake..tumuombee Allah ampe hekima ya kuongoza nchi yetu..na Watanzania tufanye kazi kwa bidiiAkisema warumi ataonekana ana mdomo... hata msiba haujaisha vizur huyo kashaanza kukimbilia nchi za watu Sijui anatafuta nini
Magu alikua ana mapungufu yake ila ulikua unaona kabisa he was dedicated in serving the people of Tanzania, alikua na uchungu na nchi yake, ila huyu mama yupo kimaslahi, yani tutalia na kusaga meno had miaka minne iishe
JK si yupo nchi inakwenda sawa usiwe na wasiwasiIla mama anasafiri sana,tangu aanze urais hajatulia kabisa sijui muda wa kufanya maamuzi sahihi anaupata sangapi,muda wa kufikiria changamoto za wananchi na namna za kuzitatua,hata muda wa Ibada na Mwenyezi Mungu anaupata kweli,kila leo safari,events....na ndo ameanza tu majukumu
Utalia wewe..Kama hutaki kufanya kazi kwa bidii..sisi wenzanko tunaimani na mama SSH..na aliyekuambia mama Ni minne tu ni Nani..yupo Sana..kikubwa tumuunge mkono na serikali yake..tumuombee Allah ampe hekima ya kuongoza nchi yetu..na Watanzania tufanye kazi kwa bidii
Kumi Tena kwa mama SSH
Hahahahahaahawanyonge si mnyongwe tu
Hana wasaidizi ?
Au unataka yeye afanye kazi ambazo wasaidizi wanaweza kuzifanya na zile za kimataifa zinazomuhitaji zaidi atume wengine ?
Hizo Kero hamna wabunge ? (Wawakilishi wa Wananchi) ?
Kuna kitu kinaitwa effective na efficiencySasa kama kuna wawakilishi kwa nini wakati wakuomba kura Ndo wanapeleka makalio yao kwa wananchi ? Si pia wapeleke wawakilishi?
Kuna kitu kinaitwa effective na efficiency
Bosi wa hoteli kuosha vyombo (inawezekana ikawa ni effective na akaviosha vizuri sana) ila kutumia muda wake ambao angekuwa anaongea na suppliers au kuangalia jinsi ya kuboresha hoteli yake kwa kuosha vyombo ambavyo kuna kitchen porter (muosha vyombo) sio efficient use ya muda wake.
Wawakilishi wapo pale kwa kazi za kufanya mara nyingi kiongozi anayeingilia kazi za wengine sio utendaji pekee bali ni propaganda na kupiga kampeni na kujionyesha anafanya kazi (Unadhani hizo Kero huwa hawazifahamu mpaka wakipita na kujifanya kuyaona hayo mabango)?
Kwahio unadhani Rais bila kutembelea na kusikiliza watu live Kero hazimfikii ?, Magufuli alitembelea mikoa mingapi na watu wangapi ? Unadhani ni possible kutembelea wananchi kila sehemu ?Whatever the case , ziara ya raisi kutembelea wananchi wake iwe ni lazima kama alivyokua anafanya magufuli, kumbuka raisi amechaguliwa kuwatumikia wananchi na sio vinginevyo, Sasa kama raisi hana utaratibu wa kutembelea raia wake na kusikiliza kero zao kazi yake ni nini ?
Rais anaweza kumwajibisha mbunge ?,Kama raisi lazima apitie sehemu mbali mbali kuhakikisha kama kweli hao wabunge wanatimiza wajibu wao wa kuwatumikia wananchi ipasavyo au lah.
Ukikaa nyumbani utakuwa mjinga unacheki daily reports unaangalia mapato yaliyopo na yaliyopita pia unafanya kazi ambazo hao wasaidizi ni vigumu kuyafanya, sidhani kama ku-expand hoteli yako watakufanyia ila kila wakati itabidi kufanya nao mikutano ili kuendeleza vizuri hoteli yako (na sio kufanya kazi ambazo wao wapo capable kuzifanya)Kwa mfano mimi ni Boss wa hotel , halafu eti naamua tu kukaa nyumbani kisa kwenye hotel kuna wasimamizi wananisimamia kila kitu , unadhan Biashara itaenda? Tusipende kushabikia vitu vya ajabu
Keshazoea aina ya uongozi wa hayati sasa anataka wa awamu ya sita nae apite mule mule.Ndugu , Key performance Indicator ni Rais kuzunguka nchi nzima na kusikiliza kero za wananchi?
Naomba uwe muelewa , usilete cheap politics katika awamu hii ya sita.
Wateule wapo kwa ajili ya nini?
Wananchi wanaishi kwa kero tu?
Hawana shida na maendeleo?
Zungumzia tunawezaje kuipaisha nchi kiuchumi, acha blaah blaah hapa.
Hata mie sioni haja ya raisi kupita mitaani na kuanza showing off kwenye TV kama raisi anatatua kero. Napendelea zaidi mifumo, sheria kubadilika na kuadress kero kwa kupitia mifumo yaani systematic approach.Sasa kazi ya wakuu wa mikoa, wilaya,watendaji wa kata,wabunge,TISS n.k itakuwa ni nini.
Kweli kichaa alifanikisha kuwabrainwash wapumbavu wengi.
Kwahio unadhani Rais bila kutembelea na kusikiliza watu live Kero hazimfikii ?, Magufuli alitembelea mikoa mingapi na watu wangapi ? Unadhani ni possible kutembelea wananchi kila sehemu ?
Rais anaweza kumwajibisha mbunge ?,
Mambo yote ni system na kila mtu ana system yake kwa taarifa yako efficient system sio Rais kupita kila sehemu ili tu aonekane anafanya kazi wakati ule ule anaweza kujua kinachoendelea sio mpaka uwepo pale live (its impossible kuwepo pote wakati wote)
Ukikaa nyumbani utakuwa mjinga unacheki daily reports unaangalia mapato yaliyopo na yaliyopita pia unafanya kazi ambazo hao wasaidizi ni vigumu kuyafanya, sidhani kama ku-expand hoteli yako watakufanyia ila kila wakati itabidi kufanya nao mikutano ili kuendeleza vizuri hoteli yako (na sio kufanya kazi ambazo wao wapo capable kuzifanya)
Kwangu mimi binafsi (In my Humble Opinion) ingawa simpangii mtu nitashukuru na nitaona ni matumizi mazuri ya Kodi zetu kama Kiongozi Mkuu atatumia huo muda kutatua na kuunganisha wote na kuwaongoza kutatua Kero kuliko kutumia muda mwingi kujifanya anasikiliza (wakati popote pale anaweza kuzisikia na anazisikia) kwa kujifanya ndio mtendaji mkuu wakati akiondoka hapo hakuna kinachofanyika...Wakati pekee unaowezekana kutembelea mikoa yote tunajua nj wakati wa kuomba kura tu , hadi vijiji vya wachawi wataenda kuomba kura, ila wakishatimiza malengo yao , ndo visingizio sasa vitakuja mara ooh kuna wawakilishi, mara ooh haiwezekan kutembelea mikoa yote, ila wakati wa kuomba kura, kila kitu kinawezekana.
Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku.
Ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana.
Kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi.
Tunakupenda sana
Asante sana
Mitano tena✋