SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Aliyekuambia kazi ya Rais ni kusikiliza kero amekuingiza chaka. Kuna wakuu wa wilaya na mikoa hao ndiyo wa kusikiliza kero za wananchi. Wahutu mwacheni Rais wetu afanye kazi tumewachoka sasa rudini kwenu Burundi.