Ni lini Rais Samia ataanza ziara kusikiliza kero za Wananchi?

Ni lini Rais Samia ataanza ziara kusikiliza kero za Wananchi?

Wewe kura yako haikumfanya ashinde.Hata ungelala nyumbani na mumewe bado angeshinda tu.Usijipe umuhimu sana kwamba wewe unaweza kumfanya mtu kuwa Rais au hata mwenyekiti wa kijiji.
mimi binafsi sielewi, kuna mambo yalikuwa yananifurahisha sana kwa mtangulizi yule hadi kufikia kupanga foleni na kumpigia kura yangu na wala sikujutia. Yale mambo yamekatika ghafla kiasi kwamba ukiniambia nipige kura leo naweza kugoma nikihisi napoteza muda. Yule jamaa alitugusa wengi sana katika staili yake ya kuongoza nchi. Kweli mwanaume ni KICHWA cha nchi
 
Bora udaku wa mitandaoni kuliko Jiwe alikuwa 'anawatrepu' akina Nape, Kinana na January na pia alikuwa anasoma meseji za wasaidizi wake wakisutana.
Ubora upi sasa unaouzungumzia wewe hapo?
 
Sasa unajilalamisha nini kama mjane asiye na mbele wala nyuma.
Sijapinga wapinzani kuchukua nchi. Ndiyo maana nikasema wapinzani watachukua nchi. Naomba usome uelewe. Ningepinga ningesema wapinzani wasichukue nchi. Elewa andiko.
 
Yale mamisafara makubwa ya mwendazake na ulinzi kama wa Rais wa USA ilikuwa ni gharama kubwa sana kuliko hicho alichoendea kukitazama
 
Hawakuwa wanathamaniwa walikuwa wanatumika kama daraja la kuyafikia madaraja na uhalali wa kuwafanya matajiri waishi kama mashetani.
Unaweza usijiite ila uhalisia ukawa wewe ni mnyonge ni sawa mwanamke anayejiuza hata asipojiita malaya ila uhalisia itabaki kuwa ni malaya.

Nafikiri sababu ya watu kukubali kujiita wanyonge pengine walijiona wanathaminiwa na kusikilizwa hali ya kuwa wao ni watu wa hali ya chini kitu ambacho pengine hakikuwahi kuwepo huko awamu za nyuma.
 
Ubora wa kutoingilia faragha za watu kwa kuwa 'trepu" bila ridhaa yao. Udaku wa mitandaoni kila mtu anaruhusiwa kushiriki.
Ubora upi sasa unaouzungumzia wewe hapo?
 
Ila mama anasafiri sana,tangu aanze urais hajatulia kabisa sijui muda wa kufanya maamuzi sahihi anaupata sangapi,muda wa kufikiria changamoto za wananchi na namna za kuzitatua,hata muda wa Ibada na Mwenyezi Mungu anaupata kweli,kila leo safari,events....na ndo ameanza tu majukumu
Dah...anasoma mitandaoni mkuu [emoji2960]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,

ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,

kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi


tunakupenda sana

asante sana

mitano tena[emoji113]
Huyu mama,hajamaliza kuunda serikali yake,akishateua wakuu wa mikoa na wilaya,ataanza kazi ya kutembelea nchi na nimeona mahali atakuwa mwanza trh 17 may
 
Sasa kazi ya wakuu wa mikoa, wilaya,watendaji wa kata,wabunge,TISS n.k itakuwa ni nini.

Kweli kichaa alifanikisha kuwabrainwash wapumbavu wengi.
Kwani huko alikoenda uganda na kenya hakuna mabalozi aje na huku kwetu dabaga tumwone kila siku tunamwona kwenye Tv tu
 
Stupidity stays in the brain of someone like you, to whom with his or her mind, think is smart! Due to low mind and capacity to grasp what is narrated!
Uvivu wa kufikiri na kusoma kwa undani umjengea mtu roho ya matusi kwani anakuwa anatafuta defence. Kabla hujatukana jitazame wewe kwanza, akili yako inakuruhusu kutukana? Ukiona inakuruhusu nawe ukatukana basi wewe na akili yako kunatatizo la ulewa.
Paint it any color you want laki uozo utabaki kuwa uozo tu hivyo basi utaendelea kuitwa uozo, kutuletea fabricated stories kana kwamba hatuna ufahamu na historia ya tawala zilizopita alimradi tu mpate pa kumkandamiza rais wa awamu ya 6 haitasaidia chochote.
Bora sasa tuko kwenye phase ya utawala ambao hauna muelekeo wa kuuana, kutesana na kutekana hivyo basi hizo rubbish mletazo hazina mashiko.
Hii haina maana ya kuwa madam President akitupeleka alijojo tutamnyazia, la hasha.
 
Ipo siku utasoma tena uzi wako halafu utaanza kuona aibu wewe mwenyewe. Time will tell
warumi you were wrong with your prophet of doom. He is gone forever and we will never ever go through that hell of life again.

Yule mtu kama angeendelea kubakia tungekuwa kama Zimbabwea. Shetani takataka ile ibakie huko ilikofukiwa, and if you still adore him you can also die and follow him to hell
 
Alisema tumpe miezi minne ajipange.Sasa ndani ya Ofisi hata hajakaa sawa mmeanza kelele aje nje.Mwacheni Mama aweke sawa Kwanza Ofisi.Mkumbuke hii Ofisi hajakabidhiwa na Hayati,kwa hiyo kuna tofauti kati ya kukabidhiwa Ofisi na kuikuta Ofisi.Orientation Kwanza.

Hat miez minne haijaisha kashaanza kuzurula, matatizo ya ndani ya nchi yapo kibao kuliko ya huko nje anayoyakimbilia, huyo ni raisi wa Tanzania sio wa east Africa
 
Yani kwamba huoni anavyotatua kero sugu zilizomshinda Jiwe?VRF ilimshinda Jiwe, Sabaya alimshinda Jiwe
 
Alienda kukutana na Rais mwenzake kwa mwaliko Rasmi. Kama na wewe unataka kumuona sura yake tuma mwaliko wako kupitia mwenyekiti wako wa kijiji, autume kwa mkurugenzi,utumwe kwa DC kisha kwa RC, kisha kwa Waziri, Waziri mkuu na Hatimaye ufike kwake Rais.
Kwani huko alikoenda uganda na kenya hakuna mabalozi aje na huku kwetu dabaga tumwone kila siku tunamwona kwenye Tv tu
 
Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,

ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,

kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi


tunakupenda sana

asante sana

mitano tena[emoji113]
Kama mlichagua wabunge na madiwani bom imekula kwenu.
Rais anapata taarifa kuhusu wananchi wake kupitia wawakilishi wenu kwani si rahisi mtu mmoja amfikie kila mtu nchi nzima.

Jiwe maranyingi alifanya hivyo kwenye vijiji vya barabara ya Moro - Dom- Mwanza.,, akitokea Mwanza au akitokea Dodoma. Alikuwa ansababisha foleni kubwa barabarani hata ajari wakati mwingine.

Mama hataki kusababisha foleni kwenye barabara zetu hizo nyembamba ,,anaruka na jet smoothly.
Tujifunze kuwa serious na maisha yetu tunapochagua wawakilishi wetu. (Ondoa uchaguzi wa mwaka jana, najua hatukupata hiyo fursa.)
 
Mataga kajinyonge tu.
Rais Samia yupo sana tu mpaka 2030. Na ikifika 2030 tutamwongezea muda Atake Asitake.
Mama anamalizia kiporo alichoacha mwendazake. Kumi yake anaianza 2025, so atatoka 2035. MATAGA wana miaka 15 ya kulia na kusaga meno.
 
Ila mama anasafiri sana,tangu aanze urais hajatulia kabisa sijui muda wa kufanya maamuzi sahihi anaupata sangapi,muda wa kufikiria changamoto za wananchi na namna za kuzitatua,hata muda wa Ibada na Mwenyezi Mungu anaupata kweli,kila leo safari,events....na ndo ameanza tu majukumu
Ndege ikiwa level anaruhusiwa kuswali.
Swala ni popote ndugu.
Nadiriki kusema mpaka sasa mama anafurahisha wananchi sana. Amani imekuja automatically baada ya mama kuhubiri haki.
 
Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,

ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,

kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi


tunakupenda sana

asante sana

mitano tena[emoji113]
Kero gan asizozijua? We sema ajitaidi kuzifanyia kazi tu.
 
Lengo la mwendazake ilikuwa ziara kutembelea wananchi wake issues zikiibuka pale anapokuwepo, tusitake kumuweka Mama mbali na wananchi wake ili mwisho wa siku tumshambulie, ni vema tumsadie kama kweli tuna nia ya kumsaidia.

Pale Hai 2020 kwenye kampeni Mbowe aliulizwa na wananchi wake tokea kampeni za 2015 ndo umekuja tena 2020 kufanya mkutano wa kuomba kura, ulikuwa wapi? Tulikuchagua ili iweje? Lakini mwisho wa siku Mbowe akaishia kuwaita wale wananchi kuwa walitumwa waje kuharibu mkutano wake.
Utaratibu wa rais kusikiliza kero za wananchi ukoje?
 
Back
Top Bottom