Kama mlichagua wabunge na madiwani bom imekula kwenu.
Rais anapata taarifa kuhusu wananchi wake kupitia wawakilishi wenu kwani si rahisi mtu mmoja amfikie kila mtu nchi nzima.
Jiwe maranyingi alifanya hivyo kwenye vijiji vya barabara ya Moro - Dom- Mwanza.,, akitokea Mwanza au akitokea Dodoma. Alikuwa ansababisha foleni kubwa barabarani hata ajari wakati mwingine.
Mama hataki kusababisha foleni kwenye barabara zetu hizo nyembamba ,,anaruka na jet smoothly.
Tujifunze kuwa serious na maisha yetu tunapochagua wawakilishi wetu. (Ondoa uchaguzi wa mwaka jana, najua hatukupata hiyo fursa.)