mimi binafsi sielewi, kuna mambo yalikuwa yananifurahisha sana kwa mtangulizi yule hadi kufikia kupanga foleni na kumpigia kura yangu na wala sikujutia. Yale mambo yamekatika ghafla kiasi kwamba ukiniambia nipige kura leo naweza kugoma nikihisi napoteza muda. Yule jamaa alitugusa wengi sana katika staili yake ya kuongoza nchi. Kweli mwanaume ni KICHWA cha nchi
Ubora upi sasa unaouzungumzia wewe hapo?Bora udaku wa mitandaoni kuliko Jiwe alikuwa 'anawatrepu' akina Nape, Kinana na January na pia alikuwa anasoma meseji za wasaidizi wake wakisutana.
Sijapinga wapinzani kuchukua nchi. Ndiyo maana nikasema wapinzani watachukua nchi. Naomba usome uelewe. Ningepinga ningesema wapinzani wasichukue nchi. Elewa andiko.
Unaweza usijiite ila uhalisia ukawa wewe ni mnyonge ni sawa mwanamke anayejiuza hata asipojiita malaya ila uhalisia itabaki kuwa ni malaya.
Nafikiri sababu ya watu kukubali kujiita wanyonge pengine walijiona wanathaminiwa na kusikilizwa hali ya kuwa wao ni watu wa hali ya chini kitu ambacho pengine hakikuwahi kuwepo huko awamu za nyuma.
Ubora upi sasa unaouzungumzia wewe hapo?
Dah...anasoma mitandaoni mkuu [emoji2960]Ila mama anasafiri sana,tangu aanze urais hajatulia kabisa sijui muda wa kufanya maamuzi sahihi anaupata sangapi,muda wa kufikiria changamoto za wananchi na namna za kuzitatua,hata muda wa Ibada na Mwenyezi Mungu anaupata kweli,kila leo safari,events....na ndo ameanza tu majukumu
Huyu mama,hajamaliza kuunda serikali yake,akishateua wakuu wa mikoa na wilaya,ataanza kazi ya kutembelea nchi na nimeona mahali atakuwa mwanza trh 17 mayJapokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,
ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,
kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi
tunakupenda sana
asante sana
mitano tena[emoji113]
Kwani huko alikoenda uganda na kenya hakuna mabalozi aje na huku kwetu dabaga tumwone kila siku tunamwona kwenye Tv tuSasa kazi ya wakuu wa mikoa, wilaya,watendaji wa kata,wabunge,TISS n.k itakuwa ni nini.
Kweli kichaa alifanikisha kuwabrainwash wapumbavu wengi.
Paint it any color you want laki uozo utabaki kuwa uozo tu hivyo basi utaendelea kuitwa uozo, kutuletea fabricated stories kana kwamba hatuna ufahamu na historia ya tawala zilizopita alimradi tu mpate pa kumkandamiza rais wa awamu ya 6 haitasaidia chochote.Stupidity stays in the brain of someone like you, to whom with his or her mind, think is smart! Due to low mind and capacity to grasp what is narrated!
Uvivu wa kufikiri na kusoma kwa undani umjengea mtu roho ya matusi kwani anakuwa anatafuta defence. Kabla hujatukana jitazame wewe kwanza, akili yako inakuruhusu kutukana? Ukiona inakuruhusu nawe ukatukana basi wewe na akili yako kunatatizo la ulewa.
warumi you were wrong with your prophet of doom. He is gone forever and we will never ever go through that hell of life again.Ipo siku utasoma tena uzi wako halafu utaanza kuona aibu wewe mwenyewe. Time will tell
Alisema tumpe miezi minne ajipange.Sasa ndani ya Ofisi hata hajakaa sawa mmeanza kelele aje nje.Mwacheni Mama aweke sawa Kwanza Ofisi.Mkumbuke hii Ofisi hajakabidhiwa na Hayati,kwa hiyo kuna tofauti kati ya kukabidhiwa Ofisi na kuikuta Ofisi.Orientation Kwanza.
Kwani huko alikoenda uganda na kenya hakuna mabalozi aje na huku kwetu dabaga tumwone kila siku tunamwona kwenye Tv tu
Kama mlichagua wabunge na madiwani bom imekula kwenu.Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,
ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,
kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi
tunakupenda sana
asante sana
mitano tena[emoji113]
Mama anamalizia kiporo alichoacha mwendazake. Kumi yake anaianza 2025, so atatoka 2035. MATAGA wana miaka 15 ya kulia na kusaga meno.Mataga kajinyonge tu.
Rais Samia yupo sana tu mpaka 2030. Na ikifika 2030 tutamwongezea muda Atake Asitake.
Ndege ikiwa level anaruhusiwa kuswali.Ila mama anasafiri sana,tangu aanze urais hajatulia kabisa sijui muda wa kufanya maamuzi sahihi anaupata sangapi,muda wa kufikiria changamoto za wananchi na namna za kuzitatua,hata muda wa Ibada na Mwenyezi Mungu anaupata kweli,kila leo safari,events....na ndo ameanza tu majukumu
Kero gan asizozijua? We sema ajitaidi kuzifanyia kazi tu.Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,
ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,
kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi
tunakupenda sana
asante sana
mitano tena[emoji113]
Utaratibu wa rais kusikiliza kero za wananchi ukoje?Lengo la mwendazake ilikuwa ziara kutembelea wananchi wake issues zikiibuka pale anapokuwepo, tusitake kumuweka Mama mbali na wananchi wake ili mwisho wa siku tumshambulie, ni vema tumsadie kama kweli tuna nia ya kumsaidia.
Pale Hai 2020 kwenye kampeni Mbowe aliulizwa na wananchi wake tokea kampeni za 2015 ndo umekuja tena 2020 kufanya mkutano wa kuomba kura, ulikuwa wapi? Tulikuchagua ili iweje? Lakini mwisho wa siku Mbowe akaishia kuwaita wale wananchi kuwa walitumwa waje kuharibu mkutano wake.