Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #41
Msumeno hulipwa kwa msumeno π―, tujifunze kusamehe pia.Alichoongea ni kweli kabisa na inauma. Kuna mtu alinipiga tukio toka November mwaka Jana mpaka Sasa sijapona machungu na nimeahidi nikimpata atakuwa funzo na Kwa wengine.
Nimejaribu mara nyingi bila mafanikio.SI uiache Sasa mkuu
Wata kuua we endelea kuishi nao hivo hivo hawana shukurani mimi sasa hivi na dili na day work, fanya kazi na kulipa kwa piece work tuna malizana kwa hiyo siku au wiki, mtu unampa kazi anakagua file zote contact zote mfumo wa uzalishaji unakuuza nje ili upate hasara au matatizo, mgine anaiba vitu hata havijui vinafanya kazi gani.Wanakatisha sana tamaa mkuu Ila ndio binadamu hao tuishi nao tu hivyo hivyo,
Ngoja nikutambulishe kwa Raisi wa chama Cha kataa ndoa Liverpool VPN, na mwenyekiti wa chama Cha kumwaga nje na vibali vya kujichukuliaa sheria mkononi dronedrake wakushauriItβs very challenging...Kuao nisawa na kujitia kitanzi kwa haya maisha ya sasa...
Aseee, ukweli mchungu huu.Wanawake, na Starehe.
Mkuu Kama una lengo kweli la kuacha, Basi tutakuwa pamojaπͺ.Nimejaribu mara nyingi bila mafanikio.
Kadri unavyozidi kusamehe ndivyo unaonekana mjinga. Uko sahihi huyo atalipwa Kwa alichokifanya.Msumeno hulipwa kwa msumeno [emoji817], tujifunze kusamehe pia.
Oa Sasa mkuu ili ujikomboe, maana wanapurura haoππ
Day delaying itakuja kutucost Buddha ππkusogeza mambo mbele badala ya kufanya katika muda unaopaswa...
Ndo tuviache Sasa, au uoe ili ujikomboeAseee, ukweli mchungu huu.
na ni ngumu kuachaDay delaying itakuja kutucost Buddha ππ
π οΈSafari tulisha anza kitambo, sema chagamoto gani tumekutana nazo na tukapambana nazo, kwangu binafsi, watumishi wangu sio waminifu kila mtu anawaza kukuibia au kukuletea matatizo ili ukwame au upate hasara.
Ndugu zetu masikini ni shida wana roho mbaya ndo maana wengi wanakufa hivo hivo na umasikini mtu umempa ajira apate riziki ila anataka kukuumiza au kukuua.
na wewe ni boss mahali??ππ οΈ
Wewe dada hiyo ishara ina manisha nini?[emoji2923]