Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #61
Hakika bro, tunastahili mafanikio mkuu.Hakuna kinacho nizuia starehe yangu ni kunywa pepsi tu 1 baada ya siku mbili, siyo chalii wa madem wala vilevi ni suala la muda tu nataka niibadilishe historia kwa mapenzi ya Mungu
She is just watching or reading the commentsWewe dada hiyo ishara ina manisha nini?
Kumbe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ana unga mkono hoja.
SI Una viacha tu mkuu, au hapo kwa ke si uoe jombaππ€
πorπ¨orβοΈWewe dada hiyo ishara ina manisha nini?
Hamna ga nauli ya kutosha anza na hiyo hiyo ulio nao mbele kwa mbele utafanikiwa tu.Kikwazo kikubwa ni nauli tu ya kuanza hio safari ndio sina.
Jaribu kuishi nao kama wafanya kazi walipe stahiki zao kata mazoea ukiona hakufai ww ndio boss kata mawasiliano na kata mrija wa kazi akafie mbele.Safari tulisha anza kitambo, sema chagamoto gani tumekutana nazo na tukapambana nazo, kwangu binafsi, watumishi wangu sio waminifu kila mtu anawaza kukuibia au kukuletea matatizo ili ukwame au upate hasara.
Ndugu zetu masikini ni shida wana roho mbaya ndo maana wengi wanakufa hivo hivo na umasikini mtu umempa ajira apate riziki ila anataka kukuumiza au kukuua.
USIOGOPE KUPAMBANIA MALENGO YAKO, no matter what.Kinachonichelewesha ni kujipenda kupita kiasi, kuna mda ili upate pesa za kutisha inabidi uhatarishe ata maisha yako kwangu mimi hilo litanichelewesha sana.
Hapa hamna safari tenaππππKikwazo kikubwa ni nauli tu ya kuanza hio safari ndio sina.
Kama watumishi wa mungu aliozungumza nao katika ndoto walifeli ndo tukawe wewe na mimi tunaozungumza na mungu kupitia mchungaji mackenzie hapa hakuna kupona tusonge mbele labda tutakutana na upepo wa kisulisuliKwangu mimi binafsi ni wanawake tu π«Ά[emoji2534] naomba sana MUNGU huu mtihani uliomshinda Adam na Samson niushinde kwa kweli, maana nikionaga hips alafu zile ambazo laini laini yaan hips rojo rojo na chuchu saa 9 [emoji80] aisee hapo ndio basi tena nimekwisha