Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

Mashine ya kukamua mafuta ya alizeti.

#MaendeleoHayanaChama

Mashine ya kukamua mafuta ya alizeti.

#MaendeleoHayanaChama

IMG_2030.jpg

IMG_0576.jpg

aaf9e271-deb4-4914-850f-ef7ef2c5b27e.jpg

IMG_0955.jpg

IMG_0704.jpg

IMG_6644.jpg
 
Nauza mashine ya kukamua juice ya miwa..bado mpya bei chee sana nipo bagamoyo 0766127021
 
Mwaka mmoja nishapata mashine 2 crdb....

Nmb sasa hiv awatoi mashine wanafanya mobile wakala unatumia simu nenda tena unapata kwa haraka....

Ukifatilia unapata
Halafu kwenye malipo ya ada na mambo mengine yanayo hitaji kupatiwa risiti, wanafanyaje kupitia huo utaratibu wao mpya?
 
  • Thanks
Reactions: Oxx
=Motor Grader 140G
=Vibrating steell roller 18Tones
=Chain Excavator 320DL
=Water bowser Scania 20M³ Volume
=Low loader Scania
=Bull dozer D9

Hizo machine hapo nikipata Set 3 Nakua Millionair Chaap.
Mkuu Kama hutajali nipe connection tuyajenge
 
Back
Top Bottom