Watu humu wanapenda mizah vitu vya msingi apendiMi nahisi nachukiwa sana, haiwezekani mada yangu muhimu ya tozo ipate replies 2 tu bila likes hata moja huku mada ya uongo ya Mpwayungu Village ya kwamba alienda Rwanda kula ugali tu na kugeuza kurudi inapata replies na likes nyingiii. Nachukiwa sana!
Kha!kha!.Moderators
Saana!Watu humu wanapenda mizah vitu vya msingi apendi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tusichukiane jirani... Ila si ulikua na moto mwenyewe sasa kosa langu nini kukupelekea moto au...Liverpool VPN kitendo Cha kuhamasisha tusioane anataka tuishi na upweke.2. mzabzab kushadadia na kuhamasisha wengine walipende tope.3. Beesmom kujifanya anapenda mikuyenge wakati Yeye ni member wa CHAPUTA ya kike😏 na mwisho kabisa ambaye nikimwona moyo wangu unafura Kwa hasira ni Smart911 ila sababu sijui🙄
Yaap mkuu kiroho swaafi tu😀😀
Unataka kusema unanichukia sio Kwa ubaya
😳🤣🤣🤣🤣 Nashukuru sana jirani🙌Tusichukiane jirani... Ila si ulikua na moto mwenyewe sasa kosa langu nini kukupelekea moto au...
Embu lia nicheke jirani...
Ooh wow 🚴🚴One day yes, upendo wa kweli haujawahi kufeli. Ni muda tu ndio utachelewa.
Nina mipango mikubwa sana na wewe, Ila Sasa hivi nipo busy sana mambo yakitulia basi everything gonna be ok
Nakupenda beesmom wangu.Ooh wow [emoji468][emoji468]
Nafikiri mwamba jlni comedian furaha yake kuchangamsha wana tu 😁😁Jamaa muongo yule sjawahi kuona popote pale
Kumpe we mshenzi upo huku unatongoza tongoza tu. Nakuchukia kinyama yani 🥸🥸Nakupenda beesmom wangu.
Ama kweli hizi ni siku za mwisho, kwa hiyo unamuonea wivu huyo dada nayempenda? Unatamani uchukue nafasi yake?Kumpe we mshenzi upo huku unatongoza tongoza tu. Nakuchukia kinyama yani 🥸🥸
Ona usivyo na akili manina zako. Usinihusishe na matendo yaliyo machukizo shenzi wewe. Unapenda kuongela uchafu jirekebishe pumbav.uu weweAma kweli hizi ni siku za mwisho, kwa hiyo unamuonea wivu huyo dada nayempenda? Unatamani uchukue nafasi yake?