Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara yenye faida kubwa haiendani na maadili
Mkuu kama leo ikija meli hapo na kuwaambia pandeni mnapelekwa UlayaKwa Dunia ya sasa ni ngumu sana races nyengine ukiondoa watu weusi kuzipeleka utumwani na katika ukoloni lakini amini nakuambia ni rahisi sana watu weusi kurudishwa tena utumwani na katika ukoloni sisi ni dhaifu sana katika kila sekta.
Ukishaelewa tofauti kati ya harmony na equality bhasi hilo haliwezi kukusumbua,maana kama unaamini tuliumbwa, na aliyetuumba yupo basi yeye ni wa harmony na siyo wa equality kama tunavyotamani kuwaHuu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.
Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.
Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.
Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.
Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.
Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.
Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?
Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Kutokuwa na consistency.Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.
Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.
Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.
Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.
Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.
Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.
Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?
Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Watu wananunua mpaka kijiko cha mchanga unategemea niniMaafrica hasa matanzania ni hovyo tu.Nadhani ipo laana ndani yake
Watu weusi wamefanya mambo makubwa katika jamii ya mwanadamu. Ukumbuke kufanya na kupromotiwa kuwa umefanya mambo makubwa ni mambo mawili tofauti.So jamii za watu weusi kote duniani zina kosa hicho kitu ?
Watu weusi wanaoishi marekani ndio walijazana magerezani wale ni watu wa hovyo kupindukia
Na hata kwenye Watanzania pia, kila mtu ni lazima azalishe kwa mujibu wa uwezo wake. Hakuna kutegemea mjomba.Hapo inabidi waTanzania wafahamu kuwa hakuna cha rafiki wala mjomba mgeni wala nini katika kujiletea maendeleo.
Ni kujipenda kwanza sisi wenyewe na kuwa hakuna mwingine atakayetupenda huo ndio ukweli ya dunia hii, hivyo tuache kulilia tupendwe na watu wa ma bara mengine, tuchape kazi.
Hatukuchagua, tumejikuta hivyo by defaultSo sisi tumechagua kuwa mafala wengi
China alikuwa na chumi kubwa sana dunia na kumiliki biashara sehemu kubwa ya dunia kipindi cha Tang dynasty, Song , Han hizo ni dynasties za haraka nazo zikumbuka .Unaangalia chumi kutoka kwa relativistic lens.
China kaanza kugundua mabaruti na marisasi na ma silaha, mashine za kuandika miaka mingi sana kabla ya Ulaya.
Kwa hivyo, China ndiye alitakiwa kutawala dunia nzima, yani unavyoona huu ufalme wa Uingereza na Marekani katika biashara ya dunia, kama China asingekuwa na hizo qualms, China ndiye alitakiwa awe kinara wao wote hao kiuchumi. Na dunia nzima badala ya kuongea Kiingerwza tungekuwa tunaongea Kichina.
Kwanza wao wengi, pili wana utamaduni mrefu wa ugunduzi na teknolojia.
Ila, utamaduni wa maadili yao ya kutoingilia watu wa nje ndio uliowaharibia nafasi ya kuongoza biashara.
Yani wao waliijua njia ya biashara kabla ya wazungu, wakaja Africa wakachukua wanyama, wakapeleka China. Halafu Mfalme wao akapiga stop watu kutoka nje.
Yani hayo mafanikio ya China unayoyaona leo ukiyapigia mahesabu yalivyotakiwa kuwa kama wasingekuwa na hayo maadili ya Confucianism, yalitakiwa kuwa mara nyingi sana kupita mafanikio yao ya leo.
Na hata hayo mafanikio yao ya leo unayaangalia kwa udogo tu, kama nilivyosema awali, kiuchumi China haijaifikia hata Seychelles kwenye GDP per capita.
Tuongee namba, si hisia.
Kuna wachumi wanakwambia kama hujafikisha GDP per capita ya $25,000 bado nchi yako ni kati ya nchi zinazoendelea, si zilizoendelea.
IMF bado inaiita China an "emergind and developing country" as opposed to "developed country".
![]()
Is China Still a Developing Country?
China is the world's second largest economy and a potential superpower, yet it's considered a developing country in many international organizations; the US wants to change thatwww.voanews.com
Unafikiri hili ni tatizo la viongozi pekeeTatizo la Afrika ni viongozi. Wengi ni wabinafsi kupindukia hawana maono yoyote ya kukwamua nchi zao ndiyo maana hakuna kinachofanikiwa kusini mwa jangwa la sahara
Ni kweli demokrasia itaweza kutukomboa ?Viongozi hawataki demokrasia Africa tutaendelea vipi? zaidi ya kuibiana.
InasikitishaMaafrica hasa matanzania ni hovyo tu.Nadhani ipo laana ndani yake
Hii ni kweli kabisa sikupingiMkuu kama leo ikija meli hapo na kuwaambia pandeni mnapelekwa Ulaya
Tena wakaambiwa mnachukuliwa kama watumwa bila mnyororo wala fimbo
Wataingia wengi sana
Vipi kwa wale ambao hawaamini habari za huyo muumbaji ?Ukishaelewa tofauti kati ya harmony na equality bhasi hilo haliwezi kukusumbua,maana kama unaamini tuliumbwa, na aliyetuumba yupo basi yeye ni wa harmony na siyo wa equality kama tunavyotamani kuwa
Inahuzunisha kweliWatu wananunua mpaka kijiko cha mchanga unategemea nini
Wengine wameachisha watato kwenda shule kisa mchungaji kasema
🤣🤣🤣 ningesoma hii wakat nipo saiti nabeba tofari, tofar lingevunja kichwa changuDunia ilivyoumbwa kuna mamba, kenge na mijusi. Unachoshangaa wewe ni kwa nini mjusi hafanani na mamba? Unataka labda kuna kitu mjusi anaweza fanya nae akawa mamba.
Hayo ni maumbile bro sisi watu weusi genetically tumeumbwa wajinga na dunia hii hatuna mchango wowote wa maana kuifanya dunia iwe sehemu nzuri kuishi sisi tumeumbwa kuvuruga. Ukijengewa choo bado utakunya pembeni.
NakaziaJe una uhakika kwamba sisi ni watu? Tuanzie hapo kwanza