Unadhani ukiweka sababu kibao ndio zitafanya tuone dhalimu hahusiki?
 
Namba 3 na 4 very possible

Namba tatu kweli are you serious. Hivi unajua CHADEMA ilivyokuwa monitored usingeongea huo uongo.

Mbowe tu alipanga kujilinda na Sabaya lakini akafunguliwa kesi ya ugaidi. Ingekuwa ni CHADEMA Sirro na Moroto wasinge laza damu, Viongozi wote wangekamatwa.
 
Na ongeza na hili la kung'oa security camera zilizokuwa karibu na eneo la tukio
 
Kwahiyo yeye Lisu alikuwa msaliti?
 
jamaa alishaambiwa huwezi kuwa mslaiti ukasurvive 😀 😀 😀
 
Kwahiyo yeye Lisu alikuwa msaliti?

Lissu alikuwa threat kwa Magufuli ndio maana amemfanyia kila ubaya na hila Hadi kwenye uchaguzi, ila karma ya Lissu ikamshinda akafa moja kwa moja na kuacha Lissu analipwa vyote alivyopoteza.
 
Magufuri alikuwa ni shetani kwenye sura ya mwanadamu.

Kifo chake kimeokoa taifa. Hebu fikiria asingekufa leo hii tungekuwaje kama taifa?

Tumshukuru mungu
Kama ni hivyo basi mbona huyo lisu wako harudi?

Kwa hiyo huyo mungu wako ndio ameokoa taifa kwa mikodi na gharama za maisha kupanda?
 
Mbona yeye kafa sasa na Lissu anaishi. Binadamu hawezi kumpangia mwanadamu mwenzake siku za kuishi.
hakika mkuu wanadamu maisha yetu ni fumbo hadi leo siamini kama lowasa mzima au lisu alipona ila daah Mungu hapangiwii mzeee..
 
Niwewe ulie usika
 
Lisu Kila uchwao Ahadi, Ahadi, Ahadi,

Unaelekea kuwa muongo muongo kama yule jamaa.
Mkuu

Tujiulize

Ishu ya lisu kupigwa risasi ilikuwa ya mtu Binafsi au ya system ya vipepeo wa nchi HII!!?

Kama ilikuwa ya system ni vigumu kujileta coz atamwamini Nani!!?

Madam hajamhakikishia usalama wake Binafsi kama mhanga!!

NADHANI katiba mpya itasimamia vyama vyote viwe salama kuepusha haya!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!
 
Jiwe, alichoka kusikia maneno ya kejeli ya TL kuhusu udikiteta wake uchwara - pamoja na vile alivyokuwa anawachachafya bungeni na miswaada yao na pupa isiyofuata misingi ya Katiba na Sheria za nchi. 🙂
 
Sijui tindu au tundu namchukia kama nini ilikuwa zamani sio sasa kweli .
Ni mtu mmoja mnafiki mpenda madaraka na pia ni mtu ambaye akishika hii inchi weeeh tutakuwa burundi tutapigana wenyewe kwa wenyewe ni mtu mchochezi .

I HATE TUNDU SO MUCH RIGHT NOW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…