SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Magumashi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mengi sana huyafahamu ,sikulaumuMkuu mbona unataka kupindisha pindisha ukwel , eti walitaka kumchonganisha Kwa hiyo walijua kua lisu tumtandika lisasi kibao kisha atapona c ndio , ili akishapona wawe na ugomvi na jpm ,
Hebu tutolee uwongo wako hapa
Huu ni uzushi wa.Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.
Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.
Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.
Huelewi bado?
Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.
Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.
Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.
Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.
Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia
Mmmhhhh tuambie baba......Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
100% sahihiKwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.
Vip Tena hapa 👆 hebu chini👇Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.
Unatuchanganya Sasa so kagundua ila ukweli hajaujua alafu 👇Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia
🤣🤣🤣🤣🤣 Kuwa serious basi mkuuu......mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.
Hili👆 ndilo la msingi 👍👍👍Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.
pole sana mkuu, ur too far from the reality ,i can't help uHuu ni uzushi wa ki kei.
Lissu hana bei na ccm wanalijua hilo.
Lissu angenunulika angenunuliwa na Magufuli
Ukiwasaidia wazazi wako inatosha, sihitaji msaada wakopole sana mkuu, ur too far from the reality ,i can't help u
Hapo ndio unaona umetupoteza mabiya ile mbaya. Uchunguzi umefikia wapi ili tupime usemacho?Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.
Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.
Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.
Huelewi bado?
Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.
Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.
Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.
Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.
Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia
Unatafuta kupindisha akili za watu kwa nguvu? Ulishaona wapi jambo kama hilo liktokea.Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.
Huelewi bado?
Moja kati ya mada za kipuuzi ndani ya JF.Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.
Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.
Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.
Huelewi bado?
Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.
Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.
Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.
Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.
Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia