Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Unatafuta kupindisha akili za watu kwa nguvu? Ulishaona wapi jambo kama hilo liktokea.

Hayo ya ubaya wa Magufuli yaache yalalae. Hayawezi kukumiza zaidi wewe kuliko aliyeguswa moja kwa moja na tukio la maamuzi hayo mabovu...
Ukweli unakuja taralibu, utafika tu
 
Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.

Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.

Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.

Huelewi bado?

Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.

Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.

Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.

Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.

Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia
stupid mind! nani aliondoa CCTV camera, nani aliondoa walinzi? nani alimfukuza ubunge, nani alikataa kumlipia matibabu, nani alikataza kumwombea kwenye viwanja vya wazi, nani alikamata waliovaa T shirt za kumpa pole. Stupid mind! Chawa mbwa, kupe shetani
 
Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.

Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.

Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.

Huelewi bado?

Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.

Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.

Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.

Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.

Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia
Ngumu kumesa!
 
Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.

Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.

Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.

Huelewi bado?

Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.

Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.

Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.

Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.

Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia
KAMA narudia tena KAMA yasingekuwa màtendo ya kinyama aliyoyaamuru Magufuli baada ya tukio ikiwemo kuzuia watu kuendesha maombi Kwa ajili ya maisha ya Lissu, hata Mimi ningesmini maneno yako.
 
Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.

Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.

Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.

Huelewi bado?

Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.

Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.

Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.

Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.

Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia
Upuuzi huu kamsimulie mmeo chumbani
 
Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.

Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.

Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.

Huelewi bado?

Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.

Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.

Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.

Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.

Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia
Mbona Jiwe hakuruhusu hata chembe ya uchaguzi ifanyike?
 
Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.

Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.

Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.

Huelewi bado?

Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.

Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.

Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.

Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.

Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia

Utter Non Sense....Labda ukawahadithie watoto waliozaliwa kuanzia tar 18 March 2021 watakuamini.
 
Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.

Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.

Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.

Huelewi bado?

Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.

Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.

Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.

Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.

Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia
TumainiEl aliwahi andika kuwa operation za awamu ya tano zilikia ni maamuzi ya kitengo sio ya jpm moja kwa moja!

Kwamba kuna maamuzi ya jiwe na maamuzi ya kitengo hakuna kilichofanyika bila kitengo kujua au go ahead ya kitengo!!!

Tusubiri!!!

Mi ninachojiuliza kama kweli awamu ya tano ingedhamiria Lisu aende angeenda kwa vyovyote vile wasinge delay HADI apone tena na kurudi!!!

Kama kweli angekua adui wa Taifa HADI leo asingekuwepo!!!

Hivyo tu nadhani!!!
 
Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.

Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.

Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.

Huelewi bado?

Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.

Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.

Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.

Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.

Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia
Acha uongo
 
Unatafuta kupindisha akili za watu kwa nguvu? Ulishaona wapi jambo kama hilo liktokea.

Hayo ya ubaya wa Magufuli yaache yalalae. Hayawezi kukumiza zaidi wewe kuliko aliyeguswa moja kwa moja na tukio la maamuzi hayo mabovu.
Kaamua kuyaacha nyuma na kuendelea na maslahi ya nchi hii. Wewe ni nani kutaka kuyashikilia ndiyo iwe ajenda ya milele.

Mpongeze Lissu, kwa kuwa na uvumilivu wa ajabu sana.
Huyu mtu angekaa na roho ya kisasi na kusononeka wakati huu angekuwa ni kiazi kabisa cha kuonea huruma.

Lakini siyo Lissu. Anasimama na kuendelea na maisha na kutetea haki za taifa hili.
He is Man of God Sent from Heaven with His Lips to teach the Truth and Righteousness
 
Unatafuta kupindisha akili za watu kwa nguvu? Ulishaona wapi jambo kama hilo liktokea.

Hayo ya ubaya wa Magufuli yaache yalalae. Hayawezi kukumiza zaidi wewe kuliko aliyeguswa moja kwa moja na tukio la maamuzi hayo mabovu.
Kaamua kuyaacha nyuma na kuendelea na maslahi ya nchi hii. Wewe ni nani kutaka kuyashikilia ndiyo iwe ajenda ya milele.

Mpongeze Lissu, kwa kuwa na uvumilivu wa ajabu sana.
Huyu mtu angekaa na roho ya kisasi na kusononeka wakati huu angekuwa ni kiazi kabisa cha kuonea huruma.

Lakini siyo Lissu. Anasimama na kuendelea na maisha na kutetea haki za taifa hili.
Wewe ni zaidi ya kalamu.
Umenena vizuri mnoo
 
Back
Top Bottom