Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Matendo ya JPM yalionyesha dhahiri uhusika wake, especially after the shootings.
 
Wewe ndo hujui chochote kabisa, heri ukae tu kimya. Tatizo mkishashika visimu vyenu vya laki 2 hivyo mkaweka bundle za 3000, mnajiandikia tu.
 
TumainiEl aliwahi andika kuwa operation za awamu ya tano zilikia ni maamuzi ya kitengo sio ya jpm moja kwa moja!

Kwamba kuna maamuzi ya jiwe na maamuzi ya kitengo hakuna kilichofanyika bila kitengo kujua au go ahead ya kitengo!!!

Tusubiri!!!

Mi ninachojiuliza kama kweli awamu ya tano ingedhamiria Lisu aende angeenda kwa vyovyote vile wasinge delay HADI apone tena na kurudi!!!

Kama kweli angekua adui wa Taifa HADI leo asingekuwepo!!!

Hivyo tu nadhani!!!

uwezekano kwamba yote yaliyopangwa yalikuwa yanapishana na jpm.
 
Alinyamaza na hakujali lolote.
Hii ilitosha kutia shaka.
Pili alizuia maombi.

Lakini tunamtangazia msamaha

kunyamaza ni dalili ya kuyaheshimu maamuzi ya taasisi zake anazoziongoza.


lakini lissu ndiye muhanga,anajua na anajulishwa vyema yaliyojili huwenda kuna kitu ameshtuka,ukizingatia lissu sio kama mimi na wewe.
 
Hata kama dawa ya upumbavu ingepatikana leo, wewe jupiter001 huponi na ungeendelea kuteseka maisha yako yote.

Hadi leo wazazi wa Ben Saanane bado wanamlilia. Kwa Mh. Tundu Antiphas Lissu ni Mungu tu aliingilia kati na kupiga stop!
 
kunyamaza ni dalili ya kuyaheshimu maamuzi ya taasisi zake anazoziongoza.


lakini lissu ndiye muhanga,anajua na anajulishwa vyema yaliyojili huwenda kuna kitu ameshtuka,ukizingatia lissu sio kama mimi na wewe.
Tunamjua Lissu ni Imara, hata akiwa hospital alikuwa mtu aliyejaa tabasamu kila wakati.
Huenda ameamua ayasamehe ya kwake apambanie taifa.
Hili ni jambo la kishujaa


Pili huenda pia ikawa kama ulivyoandiika
 
Hata kama dawa ya upumbavu ingepatikana leo, wewe jupiter001 huponi na ungeendelea kuteseka maisha yako yote.

Hadi leo wazazi wa Ben Saanane bado wanamlilia. Kwa Mh. Tundu Antiphas Lissu ni Mungu tu aliingilia kati na kupiga stop!
Mkuu umempiga rungu la kichwa huyu uvccm
 
Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.

Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.

Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.

Huelewi bado?

Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.

Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.

Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.

Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.

Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia


Trash
 
Hata kama dawa ya upumbavu ingepatikana leo, wewe jupiter001 huponi na ungeendelea kuteseka maisha yako yote.

Hadi leo wazazi wa Ben Saanane bado wanamlilia. Kwa Mh. Tundu Antiphas Lissu ni Mungu tu aliingilia kati na kupiga stop!

mar mwangosi mwaka wa 11 huu yuko ardhini.

tunawezasema ni JK alihusika sababu ulikuwa ni utawala wake na baada ya hapo RPC alipanda cheo!!!au tutakataa hakuhusika sababu tu mhusika alipandishwa kizimbani!!!

tujifunze kufikiri nje ya box.
 
Mbowe ndio alitaka kumuua lisu, hilo linajulikana
Siasa za kishoga zimeputwa na wakati.
Kama Mbowe alitaka kumuua kwanini:
1. Serikali ilikataa kumuhudumia?
2. Kwanini walizuia maombi?
3. Kwanini walizuia wabunge wasimsalimie?
4. Kwanini walimnyima haki zake?
 
Jiwe ndio alitaka Kumuua Lissu

Hili hata Chizi WA Mirembe analifahamu
Kaa chini ufikiri vizuri mtu mwenye kile cheo akiitaka roho ya mtu hawezi kupeleka wauwaji wanamna Ile!.. wale ni watoto walikuwa wanachezea vifaa vya moto tu!
 
Kaa chini ufikiri vizuri mtu mwenye kile cheo akiitaka roho ya mtu hawezi kupeleka wauwaji wanamna Ile!.. wale ni watoto walikuwa wanachezea vifaa vya moto tu!
Jiwe alikuwa Mshamba sana
 
Back
Top Bottom