UCHAGUZI WA KENYA, RISASI ZA LISSU NA MATIBABU MJINI NAIROBI.
Nataka nieleze ambavyo Dereva wa Mh. Tundu Lissu anavyoweza kuwa alichangia ama kwa uzembe tukio la Risasi kwa Lissu kufanikiwa kwa kiwango kikubwa.
Nikweli kwamba watu wetu wengi wanapenda kusifiwa tu na kushabikia hivyo hawapendi kuelezwa ukweli.
So far hizi ni hisia zangu ambazo si lazima zifuatwe wala kuaminiwa. Matusi niliyoyapokea tangu jana facebook na whatsup yametosha kunisaidia kufikiri namna nyingine ambayo inaweza kuwa ilisaidia tukio lile kukamilika. Kama una hasira usisome!!
Unakumbuka kuwa Uchaguzi Mkuu wa Kenya ulibatirishwa na Jaji wa Mahakama Kuu ya huko na kuamriwa kurudiwa tena ndani ya Siku 60?? (Zingatia).
Unakumbuka kuwa Lissu alipigwa Risasi siku mbili baada ya tarehe Mpya ya Uchaguzi kutangazwa na siku moja baada ya Uhuru Kenyatta kufungua Kampeni zake huko Kenya?? (Zingatia).
Unakumbuka kuwa Chama kikuu cha Upinzani hapa Nchini kilitangaza nia ya kumuunga mkono Uhuru Kenyetta ktk mbio zake za Urais na Vijana wao hapa ndio wapiga debe wakubwa wa Kenyatta?? (Zingatia).
Unakumbuka kuwa ktk Uchaguzi wa Tanzania kuna Viongozi wakubwa wawili wa Kisiasa walifariki vivyo hivyo Kenya ktk uchaguzi wa awali wamefariki Viongozi wawili wanaohusiana na IT ya Tume ya Uchaguzi?? (Zingatia).
Je umewahi kusikia kuwa Rais wa Tanzania na Mgombea Urais wa Kenya kupitia muungano wa NASA Raila Odinga ni marafiki wakubwa hata kabla ya Rais wa Tanzania kuwa Rais na kwamba hiyo ndio sababu iliopelekea Chadema kuukacha upinzani na kuungana na Uhuru Kenyatta??? (Zingatia).
Uliwahi kusikia kuwa Raila Odinga anatumia jina la Magufuli ktk kampeni zake na kwamba akichaguliwa ataongoza Kenya kama Magufuli anavyoongoza Tanzania na kwamba hiyo inamsaidia sana kuukaribia Urais wa Kenya?? (Zingatia).
Je wajua kuwa Lowassa alikwenda Kenya kumfanyia Kampeni Kenyatta lkn pia baada ya Lissu kupigwa Risasi Lowassa hajasema lolote hadi sasa??
Je wajua kuwa Tundu Lissu alipopigwa risasi alikimbizwa Hospital ya Dodoma akiwa hoi, akahudumiwa hapo, akapata pumzi kisha ikaonekana kuwa Tanzania hakuna usalama hivyo sasa anapata matibabu Nairobi Kenya??? (Zingatia).
Kama umeyakumbuka mambo yote hayo kwa ukamilifu, sasa tutafakari kwa pamoja.
Ametokea mtu mmoja mlevi tilalila akasema kuwa'
"Kwa kuwa Lissu alikua mkosoaji mkubwa wa Serikali ya JPM (wote tunajua), na kwa kuwa Chama chake kinamuunga mkono Uhuru Kenyatta, na kwa kuwa ni lazima Uhuru Kenyatta ashinde, kwa hivyo uliandaliwa utaratibu wa kumshoot intetionally Lissu, aumizwe kisha akatibiwe Kenya na wakati wote wa matibabu (kumbuka ndio wakati wa Kampeni pia Kenya) itazungumzwa kuwa Lissu ameumizwa na Serikali ya JPM kwa sababu alimwita Dicteta Uchwara halafu wakati wote huu Rais Uhuru Kenyatta atahusishwa kwa karibu kama mtu anaetoa support ya ulinzi wa Tundu Lissu.
Homework:
Unganisha matukio yote halafu unipinge kwamba kwa Lissu kwenda kutibiwa Kenya Serikali ya Tanzania na jina la Rais Magufuli litakua halijachafuliwa na hivyo kumpunguzia nguvu Raila Odinga ktk Kampeni zake. Why not Rwanda, ok, acha Rwada. Why not Uganda ama hata South Afrika if the case ni Usalama??
Unganisha matukio hayo halafu unipinge kwamba kwa kufanikiwa huko Uhuru Kenyatta atakua hajatengenezewa kura za nyingi za huruma mbele ya macho ya Wakenya, na Raila amedhoofishwa kwa sababu hawezi tena kusema nitaiongoza Kenya kama Magufuli anavyoiongoza Tanzania. Enhe!! Tell me!!
Unganisha matukio hayo kisha unambie kuwa ukimya wa Lowassa hauna tafsiri yoyote ktk hili, kwamba tukio hili halina madhara yoyote ktk Uchaguzi wa kenya wa Oct 17 on the favor of Uhuru Kenyatta.
Kumbuka, kabla ya kupinga kwa lolote jiulize sababu za Lissu kwenda kutibiwa Nairobi. Am not so stupidy! Usiseme sababu za kiusalama. Usalama haiwezi kuwa na msingi wowote kwa sababu waliompokea akiwa mahutihuti Dodoma ni Watanzania na Hospital ile ni ya Serikali kwa hiyo wangeweza kufanya lolote even before Mbowe kufika. So far thietre Madakta huwa wanaingia pekee na mgonjwa.
Anyway, akili ni nywele kila mtu ana zake."TAFAKARI"
[HASHTAG]#SipendagiKudanganywaKijingaMimi[/HASHTAG] [HASHTAG]#skata[/HASHTAG] mtata.
Sent using
Jamii Forums mobile app