c and p
Shambulio la Mbunge Tundu Lissu henda tukaliona kubwa sana ila kama watanzania ni waungwana tujikubushe athari ya yaliyotokea kibiti.
-JUMLA YA WALIOKUFA NI ZAIDI YA AROBAINI.
-Wote walikuwa ni viongozi wa serikali na chama na 17 walikuwa ni askari polisi.
-wastani wa utegemezi kwa familia ni watu nne
_jumla ya familia zilizopoteza wapendwa wao ni zaidi ya arobaini.
-serikali ilipoteza watumishi
-zaidi ya wanawake arobaini waliachwa wajane
-zaidi ya wategemezi 160 waliachwa bila msaada. Hivyo kupelekea ugumu waaisha kwa familia hizo.
-wengine walijeruhiwa.
Matukio haya hayakupewa uzito sana na vyama vya upinzani, na kituo cha Haki za binadamu na kuoneka ni kitu kirahisi sana na hakuna hasara kwa taifa.
-Uzito wa swala la Lissu wala halifiki hata robo wa lile la kibiti.
Tukio la Lissu kushambuliwa linastua ndio ila sijona umuhimu wa kutaka hata kuingila shughuli za baadhi ya mihili kama Bunge. Vyombo vya ulinzi vinafanya kazi yake sioni haja ya baadhi ya wanasiasa kuwachanganya watanzania.
Tunathamini na kuheshimu mchango wa Lissu hapa nchini hivyo tunajali pia uhai wake. Sote tunaungana kulaani tukio lile na yote yaliyotokea Kibiti na kwingineko. Tunamuombea Lissu apate nafuu, Mungu amponye.
-press zenu hazina umuhimu kusaidi uchunguzi bali kufaidisha umati na mitandao ya kijamii. wasilisheni malalamiko yenu mahala sahihi.
mzalendo ink.
www.facebook.com/mzalendoT
Sent using
Jamii Forums mobile app