hao ndo walituma kuonfolewa kamera na mlinzi area D?
 
Upuuzi mtupu, kusoma hujui hata picha huoni
 
Kwa hiyo ni makinikia holders?
 
Hii hata jamaa zako wa Lumumba watakucheka aisee.

Ila japo habari yako ni uharo wa bata anaeumwa kuharisha ila nimegundua ndani ya roho yako hata wewe unakubali kuwa kumbe serekalini kuna madudu na kuna nyaraka zinajaribu kufichwa japo nyuma ya pazia unaweza zipata kwa ujira.
 
hujafanya kosa lkn tatizo hoja ya kupinga kwamba si mkono wa serikali ni finyu mno kwahiyo ndio maana yanatokea haya ya kukupinga kila mmoja ktk mtazamo wake.
Mkuu naeleza nilichoelezwa, sijabadilisha neno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…