Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Hii hata jamaa zako wa Lumumba watakucheka aisee.

Ila japo habari yako ni uharo wa bata anaeumwa kuharisha ila nimegundua ndani ya roho yako hata wewe unakubali kuwa kumbe serekalini kuna madudu na kuna nyaraka zinajaribu kufichwa japo nyuma ya pazia unaweza zipata kwa ujira.
Wazo lako, naliheshimu
 
Kuna mambo huwa hayahitaji kutumia akili kubwa ili ujue kama kweli au ni uongo ila wahenga walisema lakuambiwa changanya na lako
 
Leo nimekutana na mdau flani toka wizara flani ya serikali ya Tanzania, tulikuwa tukipata chakula cha mchana sehemu flani hapa dar, sitaitaja jina kwa Sababu flani.akaniambia mdogo wangu shambulizi la Lissu serikali haihusiki hata kidogo, wanaionea bure kabisa, siasa inatupeleka vibaya. Kaniambia unajua shambulizi hili limetokana na kudhulumiana pesa, jamaa zangu walikua wananyofoa nyaraka wizarani wanampa kwa makubaliano ya ujira, tatizo la Lissu kila alipopewa pesa na wazungu aliwaeleza wale jamaa kwamba bado malipo yanashughulikiwa Kumbe alikua analipwa kwa instalment , wakimsumbua Sana anakata kiwango kidogo Sana, akidai yeye ndo master plan wasiwe na Shaka , sasa jamaa wakaona huyu tunamtajirisha yeye huku Sisi Kazi zetu zipo hatarini, ndo maana wakaona dawa ni ku revenge, jamaa Kaniambia wazungu walimtegemea Sana Lissu , na yeye aliwaambia wasiwe na Shaka kwa kua ametengeneza mtandao mpana kuhakikisha serikali haifurukuti kwa Mikataba iliofungwa hapo nyuma.

Tuwe na subra, mengi tutayasikia, yatabadilisha mitizamo yetu kabisa


Msaidieni huyo Mshamba wenu afanye mambo yaende na kuacha porojo za cesspool .. Hata utungaji wa story yako ni ya kishamba kama ya Bwana wako na wenye vichwa vya kuku kama huko kijiweni kwenu. Kama ingekuwa vile kwa nini wanachelewesha uchunguzi?? wakiambiwa hata interpole waje wanakataa.. Wachunguzi wengine kama CIA.. FBI na wale wa CFO wa British mnakataa, Mnakuja na porojo za kilevi na kita..ahira kama akili zenu zilivyo butu kama bwana wenu.. Mnashindwa kusaidia nchi inende mbele zaidi mnakimbila kuhonga na kununua wanaowakosoa kuwasifia. in maana mmenunua na mioyo yao?? Transactions mnazozifanya hazijulikani?? Ulimbukeni wenu mnaona hamjulikani.. Mmebaki kuua,kuteka, kuhadaa na kutunga uongo kama alivyo mfalme wenu aliyebobea uongo na taarifa za kupika.. Kwa taarifa yenu msuburi the next stage mntakavyoaibishwa.. Mmechomoa hata Kamera za ulinzi kuficha ukweli.. Track back uje tena you awk..ward. dirty hyena..
 
Leo nimekutana na mdau flani toka wizara flani ya serikali ya Tanzania, tulikuwa tukipata chakula cha mchana sehemu flani hapa dar, sitaitaja jina kwa Sababu flani.akaniambia mdogo wangu shambulizi la Lissu serikali haihusiki hata kidogo, wanaionea bure kabisa, siasa inatupeleka vibaya. Kaniambia unajua shambulizi hili limetokana na kudhulumiana pesa, jamaa zangu walikua wananyofoa nyaraka wizarani wanampa kwa makubaliano ya ujira, tatizo la Lissu Kila alipopewa pesa na wazungu aliwaeleza wale jamaa kwamba bado malipo yanashughulikiwa Kumbe alikua analipwa kwa instalment , wakimsumbua Sana anakata kiwango kidogo Sana, akidai yeye ndo master plan wasiwe na Shaka , sasa jamaa wakaona huyu tunamtajirisha yeye huku Sisi Kazi zetu zipo hatarini, ndo maana wakaona dawa ni ku revenge, jamaa Kaniambia wazungu walimtegemea Sana Lissu , na yeye aliwaambia wasiwe na Shaka kwa kua ametengeneza mtandao mpana kuhakikisha serikali haifurukuti kwa Mikataba iliofungwa hapo nyuma.

Tuwe na subra, mengi tutayasikia, yatabadilisha mitizamo yetu kabisa
Story ya kutungwa
 
Leo nimekutana na mdau flani toka wizara flani ya serikali ya Tanzania, tulikuwa tukipata chakula cha mchana sehemu flani hapa dar, sitaitaja jina kwa Sababu flani.akaniambia mdogo wangu shambulizi la Lissu serikali haihusiki hata kidogo, wanaionea bure kabisa, siasa inatupeleka vibaya. Kaniambia unajua shambulizi hili limetokana na kudhulumiana pesa, jamaa zangu walikua wananyofoa nyaraka wizarani wanampa kwa makubaliano ya ujira, tatizo la Lissu Kila alipopewa pesa na wazungu aliwaeleza wale jamaa kwamba bado malipo yanashughulikiwa Kumbe alikua analipwa kwa instalment , wakimsumbua Sana anakata kiwango kidogo Sana, akidai yeye ndo master plan wasiwe na Shaka , sasa jamaa wakaona huyu tunamtajirisha yeye huku Sisi Kazi zetu zipo hatarini, ndo maana wakaona dawa ni ku revenge, jamaa Kaniambia wazungu walimtegemea Sana Lissu , na yeye aliwaambia wasiwe na Shaka kwa kua ametengeneza mtandao mpana kuhakikisha serikali haifurukuti kwa Mikataba iliofungwa hapo nyuma.

Tuwe na subra, mengi tutayasikia, yatabadilisha mitizamo yetu kabisa
Wakati mwingine ukiambiwa upumbavu kama huu ujitahidi kunyamaza kimya usiulete huku. Wenzio walikuwa wanakupima tuu uwezo wako wa Akili na wew Kama Zuzu ukayabeba mpka huku Ona sasa unavyo dharilika.

Hata kama ujinga huo amekwambia baba yako au Baba Bashite Mwambie tuu huu ni ujinga msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Msaidieni huyo Mshamba wenu afanye mambo yaende na kuacha porojo za cesspool .. Hata utungaji wa story yako ni ya kishamba kama ya Bwana wako na wenye vichwa vya kuku kama huko kijiweni kwenu. Kama ingekuwa vile kwa nini wanachelewesha uchunguzi?? wakiambiwa hata interpole waje wanakataa.. Wachunguzi wengine kama CIA.. FBI na wale Wa British mnakataa, Mnakuja na porojo za kilevi na kitaahira kama akili zenu zilivyo butu kama bwana wenu.. Mnashindwa kusaidia nchi inedne mbele zaini ni kununua wanaowakosoa.. kuua na kutunga uongo kama alivyo mfalme wenu aliyebobea uongo na taarifa za kupika.. Kwa taarifa yenu msuburi the next stage mntakavyoaibishwa.. Mmechomoa hata Kamera za ulinzi kuficha ukweli.. Truck back uje tena you awk..ward. dirty hyena..
Kubali kusikia hata yale ambayo hukutarajia Mkuu
 
Mkuu naeleza nilichoelezwa, sijabadilisha neno
sijakuambia kwamba haujaeleza ulichoelezwa,kuwa muelewa kwamba hoja za hapa bado hazijakidhi ktk kuitoa serikali kuhusika kama wengi wanavyodhani..
 
Back
Top Bottom