Akili zako Kama mpira wa kiume unaovaliwa wakati wa kufanya zinaa,ulishajiuliza hata siku moja walinzi wa area D walikuwa wapi trh 7September 2017? Na aliyeamru wasiwepo lindoni siku hiyo kawajibishwa? Hujui kina madaktari na walimu wametumbuliwa kisa wametumia vyeti vya sekondari vya jamaa zao wakati Bashite anapeta TU nakunenepeana tu. Ulishawahi kuhoji haya?Uzi pumba.
Labda amepata chai na kondomu. Sijui Nani huwa anawashikia akili.Umepata Chai lakini ?
Shetani mkuu.Jiwe ni shetani
Mnatamani hii siku ipite maana ni chungu sana kwenu!!Uzi pumba.
Kwamba uchunguzi umeshafanyika?Uzi pumba.
Uwezo wako ni mdogo kufikiri, pambana na hali yako usiniletee njaa zako mimi
Mimi si walevo yako nimeenda shule na nina kazi nzuri na wala sikuhitaji huduma ya HESLB kutimiza malengo yangu ok
But nilikuwa na pambana kuhakikisha watoto wa masikini kama wewe hapo mpate angalau udhamini wa HESLB ili mpate elimu mje mkomboe jamii yenu
Lakini kumbe ni ujinga tu mawazo yako hayana utofauti na mawazo ya mtoto aliye chini ya miaka 5 sasa kuna kupiga hatua Tanzania!!!??
Paskal mayala najua una urafiki na wana CCM wengi washauri waajili vijana wenye Upeo kwa ajili ya kuwatetea CCM mitandaoni waachane na hao wavuta Bangi waliopo Gheto kwa Le mutuz na cyprian Musiba wanawatia Aibu kwa kuandika maneno ya ajabu ajabu yasiyo na maana.
Umeona eeh 👏👏👏👏Mkuu, Hao ni watoto wa matunda ya mbio za mwenge , ni kuwaacha tu
JF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.
Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.
2 Mguu ulioumia ni wa kulia..
3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?
4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?
5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.
Karibuni wataalamu tudadavue.
Queen Esther
Wewe lazima utakuwa ni mchawi!JF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.
Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.
2 Mguu ulioumia ni wa kulia..
3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?
4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?
5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.
Karibuni wataalamu tudadavue.
Queen Esther